Glisten
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 301
- 22
Haki ya Slaa, hakuna wala gari lilobeba! Kweli CHADEMA WANA SERA CCM WANA SARE ZA MAJIMAMA
Hahaha Ni mafuriko hayo
Haki ya Slaa, hakuna wala gari lilobeba! Kweli CHADEMA WANA SERA CCM WANA SARE ZA MAJIMAMA
Hahaha Ni mafuriko hayo
Mada ni nini au picha ndiyo sera.Jioni hii nitakuwa nawaletea matukio ya mkutano wa Dr Slaa hapa iringa mjini.
Hao wote hapo ni wakulima wanasubiri msimu wa kilimo uanze sasa hivi hawana kazi yoyote ndio maana wako hapo kupoteza muda
Mkuu hizo fuso zilileta nini hapo au zilibeba mazulia?
hii picha ya 2010 au ya leo 19/10/2014 ;;;; mimi sijui mbona
hii picha ya 2010 au ya leo 19/10/2014 ;;;; mimi sijui mbona
..jk alifanya na nani vile..!mbowe juzi alikuwa anafanya romance na binti Wa miaka 24.
Jangili a.k.a Kinana ndio mwehu kabisa,maharamia makubwa.
usikaririshwe picha zote za leo mwangalie mtu jirani na bendera kati ana barakashia tshirt rangi ya blue bahari ni mmhii picha ya 2010 au ya leo 19/10/2014 ;;;; mimi sijui mbona
hii picha ya 2010 au ya leo 19/10/2014 ;;;; mimi sijui mbona
hii picha ya 2010 au ya leo 19/10/2014 ;;;; mimi sijui mbona
eti makamu wa raisi ni watatu ila serikali ni mbili,maajabu haya sasa sijuhi waziri mkuu anapokuwa makamu wa rais muda huo nani anachukuwa nafasi ya uwaziri mkuu ..ccm mnazidiwa akiri hata na dagaa,mrudishe pesa yetu mliyoila kwenye BMK ili tukajinunulie dawa za figo za ndugu zetu muhimbili