Ana ngoma wala siyo kisukari peke yakeHahahahahhh.......Hiyo sikuipata Kamanda, Kwanini hukurushia humu kama ilivyo ada??
Bila shaka Lukuvi alishikwa na tumbo la kuhara damu na vile ni mgonjwa wa kisukari (Ref Kikombe cha Babu Loliondo) Sijui kama atakuwa ktk hali nzuri.
BACK TANGANYIKA
Mungu Wangu Mungu Wangu Chadema ni noma jamani
Kinana alisema.. "Oooh Mwakalebela atapita, yalikuwa makosa tu kutompitisha..."
Alhaj Jakaya aliokolewa na maruhaniHuyu babu atakuja kufia majukwaani
Hapo ni Bila Ukawa, tukianza Mchaka mchaka wa Ukawa Kuanzia Tarehe 26 mafisadi wa CCM watakimbia nchi. CCM wameiba hadi wahisani wameshitukia, wamegoma kutoa hela, sasa watanzania tunataka ishara gani kuwa CCM haitakiwi tena?
Shikamoo ifweero
Mkuu wangu mmaranguOriginal unaweza kututhibitishia hilo ulilolisema hapo juu?
ubarikiwe