Jana Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu kawamaliza magamba huko Isimani Kwa Lukuvi...Lukuvi kwa kihoro akawatuma mapolisiccm eti kwenda na mkwara wa kutisha watu kwa magari na 'kukoki' bunduki, wapambanaji wanawadeku tu huku wakila nondo za mkutanoni!
Polisiccm wanaanza kuzoeleka!
Iringa msimu kama huu ambao.kilimo hakijaanza watu wengi hawana kazi ya kufanya.. Hata chizi akiandaa mkutano watu watajaa kupoteza muda.
Iringa msimu kama huu ambao.kilimo hakijaanza watu wengi hawana kazi ya kufanya.. Hata chizi akiandaa mkutano watu watajaa kupoteza muda.
Slaa anawaaga wana Iringa maana mwakani hili jimbo Chadema watalisikia redioni tu
...madhara ya kuchokoza nyuki nasikia hii kitu ni nonstop mpaka 2015!!!
![]()
Iringa msimu kama huu ambao.kilimo hakijaanza watu wengi hawana kazi ya kufanya.. Hata chizi akiandaa mkutano watu watajaa kupoteza muda.
ulitaka aongelee familia yakoamejikita kuzungumzia serikali tatu basi hakuna lingine.
Unamaana huyu jamaa wa meno ya tembo fisadi wa ccm naye chizi maana ndo katoka huku iringa hivi punde.ccm mnamambo hata huyu wakwenu mnamwita chizi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
![]()
Haki ya Slaa, hakuna wala gari lilobeba! Kweli CHADEMA WANA SERA CCM WANA SARE ZA MAJIMAMA
wanaobebwa na malori kama ng'ombe tunaowatoa kwetu usukumani, majira yao ya kazi ni yapi?hao wote hapo ni wakulima wanasubiri msimu wa kilimo uanze sasa hivi hawana kazi yoyote ndio maana wako hapo kupoteza muda
Mkuu hizo fuso zilileta nini hapo au zilibeba mazulia?
wanaobebwa na malori kama ng'ombe tunaowatoa kwetu usukumani, majira yao ya kazi ni yapi?