Mkutano wa Dr Slaa Iringa mjini

Mkutano wa Dr Slaa Iringa mjini

Mkuu Dazzle

Pamoja nakuleta picha, nijambo lamsingi kabisa kushusha hapa jukwaani kinachoongelewa yaani ujumbe na hotuba.

Picha peke yake hazitosherezi, ujumbe nimuhimu sana hivyo dondoo ni moja ya hamasa katika uzi.
Amejikita kuzungumzia serikali tatu basi hakuna lingine.
 
Juzi hapohapo Iringa ndio Kinana alisema "CCM niwa puuzi na wanapenda rushwa na siasa za makundi.."

Kamanda Mtoi Nitawashanga sana kama watu wa iringa wataikubali katiba ya ccm, Namwamini Dr na Prof watawaelimisha watu wa Iringa
 
Tuambieni kinachozungumzwa hapo jamani.....hongereni sana wana iringa.......
 
....

.....ccm watapata ugonjwa wa ---puresha inapanda !!!



attachment.php
 
Amejikita kuzungumzia serikali tatu basi hakuna lingine.
Hii ndo katiba ya mwehu Sitta!!!!!
1) Maadili ya uongozi..Siyo mtu anakurupuka tu kama Kikwete na Pinda
2) Katiba imeacha sintofahamu ya kisiasa hivyo inachochea umwagaji wa damu
3)Katiba haina meno kisheria..imepumbaza tu wajinga( wakulima, wasanii na kina mama) kwa kugisia mambo juujuu
4) Katiba inatoa muundo wa hovyo kabisa wa serikali na inachochea ufujaji wa hela na ufisadi

Hilo takataka la mwehu Sitta tupaaaaa kuleeee...eti katiba jinga sana!!!!!
 
Jana Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu kawamaliza magamba huko Isimani Kwa Lukuvi...Lukuvi kwa kihoro akawatuma mapolisiccm eti kwenda na mkwara wa kutisha watu kwa magari na 'kukoki' bunduki, wapambanaji wanawadeku tu huku wakila nondo za mkutanoni!

Polisiccm wanaanza kuzoeleka!
 
Hivi naona watu au sisizimizi!!!

Mhhhh, hapo hajafuatwa mtu na lori wala Baiskeli!! Piga kazi Dr ni lazima watu wakaee

Etiii (huko nimebana pua) Ccm tunajua makosa tuliyoyafanya Mwakalebela sijui nini..... Mwakani jimbo linarudi ccm......!!!!!!! Nyambafu Linarudi ccm kwa mtaji upi mlionao?? Hapo kumbuka UKAWA imeshasema. Mgombea mmoja tu dhidi ya mmoja wa gambaz....

Vima nyie Mtatapika nyongo mwakani.. Chama cha Wapuuzi

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom