mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
kamuacha wapi mushumbuzi. ametumia rukuzu ya chadema kumjengea nyumba Josephine mushumbuzi.
hao wote wanakusanyana halafu kura wanatupa ccm . kalaghabaooo chadema
Mkuu hizo fuso zilileta nini hapo au zilibeba mazulia?
hao wote wanakusanyana halafu kura wanatupa ccm . kalaghabaooo chadema
mbowe juzi alikuwa anafanya romance na binti Wa miaka 24.
Siku zipo tusikimbiane mapema mwaka ujao.
Iringa msimu kama huu ambao.kilimo hakijaanza watu wengi hawana kazi ya kufanya.. Hata chizi akiandaa mkutano watu watajaa kupoteza muda.
mbowe juzi alikuwa anafanya romance na binti Wa miaka 24.
Ameenda kutafuta mwingine kama jose au anaishu gani make siasa mzee zimemshinda anaongea mishipa yote mpaka ya tumbo na shingo imesimama.
tulia Tigo inawasha nn? Nenda akutindue mzee Wang Leo kalala hotel iringa paleee...Iringa ipi unazungumzia kwani chagadema iringa mnamajimbo mangapi ya uchaguzi.
Pembe za ndovu mnszirejesha lini gharanni tayar kwa kuangamizwa?Slaa anawaaga wana Iringa maana mwakani hili jimbo Chadema watalisikia redioni tu
mzee mnamuhara kma simba jikePorojo, kuhororoja na kubwabwaja kwake tumekuzoea, hana impact yoyote.
Safari hii si atazuwa nini huko, ngoja tusikilizie.
Ameenda kutafuta mwingine kama jose au anaishu gani make siasa mzee zimemshinda anaongea mishipa yote mpaka ya tumbo na shingo imesimama.
mbowe juzi alikuwa anafanya romance na binti Wa miaka 24.
Mkuu nyuma ya dr slaa unafanya nini kama siyo tabia za kijinga ni nini.
mbowe juzi alikuwa anafanya romance na binti Wa miaka 24.