Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

mwanangu una madharau sana,naona hata namna unaikodolea screen kwa dharaaau.
Ehe,tupe update,vipi watu ni wachache.

mkuu mi sina dharaau ninacho andika ndio ninacho kiona hapa uwanjani mkuu live mwanzani alikuwa akicheka cheka sasa utaki niseme unataka niseme amenuna
we vp???
 
Vipi hawa jamaa walihamasishana misiktini nin,
 
Anayohubiri hayo mambo ya gesi hayasisimui watu,watu wanaham ya kusikia ufisadi wa magamba na udini wa cdm
 
Kauli ya Makamu M/kiti wa CUF Machano Khamis kusema waislam wote waingie CUF imekosa diplomasia. Ameyasema hayo kwenye mkutano unaoendelea sasa hivi unaorushwa hewani na TBC1.

Amesema hv, kwa sababu wanasema cuf ni chama cha waislam,anatoa wito kwa waislam kuhamia cuf maana huko waliko hawatakiwi!
 
Haihitaji hata degree kumaizi mwisho wa hiyo game
 
Mod kaunganisha thread yangu ila haikuwa exactly sawa na hii.....mimi pia nilitaka pawe na michangu kuhusu "Yule mchungaji aliyetoa maombi pale", humu ndani kuna mchangiaji naye kasema kuwa alisikia makelele na vicheko yule mchungaji akiwepo, nami pia nilipata shaka alivyotoa maombi, na baadaye alipokuwa akishuka alipigiwa makofi kwa staili ya kumpongeza kwa kuact na kudhalilisha.

Huyu mchungaji atakuwa feki kama si wa kukodi toka makanisa njaa.Lakini kwanini CUF wafanya hivyo?
 
Wakuu,

Nimeshuka hapa kituo cha Jangwani naelekea moja kwa moja mpaka kiwanjani, napishana na defender ikiwa na askari watatu...

Nitazidi kuwapa update

We hukumuelewa,kasema, cmd wanadai cuf ni chama cha waislam na ccm hivyohivyo kinadai cuf ni chama cha waislam sasa waende wapi? ndo akasema basi waislamu waingie cuf kwani hakina ubaguzi! acha upotoshaji!
 
prof anasema ..maneno ya kiswahili full...sjui CCm kifo cha mende sijui nini..sijui kam Dr. slaa au mbowe naweza sema hivyo..

Hawa jamaa wapo too artificial...kuna mtu kakaribisha kundi wanalaodai kuwa si utambilisho wao.Na kuongeza chuki kasema hawatakiwi CCM wala CDM.
 
Prof anasema pesa za gesi wapewe wananchi mkononi kila m2 akaitumie anavyotaka na kuboresha maisha yao
 
Lipumba anasema njia rahisi ya kupunguza umasikin ni kuwapa masikin fedha taslimu.
 
Ni sawa na Kuuliza kati ya Manchester Utd na Coastal Union nani atafungwa
 
wito wa waslam kuingia cuf na hii imedhihirisha lengo lao!

kwa hiyo miaka nenda rudi waislamu wataendelea kurubuniwa?. Kumbe rahisi tu we ukitaka chama chako kishinde ahidi waislamu kitu. Nawaonea sana huruma ndugu zangu waislamu.
 
Back
Top Bottom