SIR JAPHET
Member
- Mar 21, 2011
- 31
- 6
wadau tumesikia cuf pale jangwan kupitia tbc wakitangaza harakati za ukomboz wa watanzania kupitia vision 4 change.mi naona copy n paste ya m4c ya chadema.kwanini wasije na muundo tofauti na cdm?my take ipi m4c au v4c itaondoa ccm madarakani?