Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Lipumba anaongelea vitambulihso india ,nadhani atakwenda kuongezea kuwa india nao walikuwa na kipengele cha dini katika sensa zao.
 
Jamani fujo huku niliko kaa fujo kunam2 anapewa vitasa vya nguvu upepo umechafuka huku njuma!!!!?

Kisa kafungua walet yake atowe pesa anunue maji kadi ya chama ya chadema ikaanguka chini wamemkimbiza na ma2si juu kuwa ametumwa
 
MChumi anangurumisha Facts,Huwezi sikia facts kama hizi wa wacheza Disco na wakware wa wake za watu. Msaidieni kucopy points Padri zitamsaidia akiwa kaskazin kwenye mkutano yake
 
jamani fujo huku niliko kaa fujo kunam2 anapewa vitasa vya nguvu upepo umechafuka huku njuma!!!!?

Kisa kafungua walet yake atowe pesa anunue maji kadi ya chama ya chadema ikaanguka chini wamemkimbiza na ma2si juu kuwa ametumwa

m4c popote
 
Laiti isingekuwa siasa za kiafrica basi Prof angekuwa kwenye serikali akisaidia.
 
Lipumba anasema njia rahisi ya kupunguza umasikin ni kuwapa masikin fedha taslimu.

Prof ni kimeo ...Hakuna ushahidi kuwa ukiwapa watu hela ya bure watajikomboa.Otherwise wale watu wa vijijini wanaoishi kwa kupewa hela na ndugu zao wa mjini wengi wameishia kuwa masikini zaidi.Yule mwanafilosofia mkubwa alisema usimpe mtu samaki ila mfundishe kuvua...prof hajui kuwa serikali kazi yake ni kujenga mazingira mazuri ya raia kujenga maisha, na kuwawezesha si kuwalisha kama kuku.
 
We hukumuelewa,kasema, cmd wanadai cuf ni chama cha waislam na ccm hivyohivyo kinadai cuf ni chama cha waislam sasa waende wapi? ndo akasema basi waislamu waingie cuf kwani hakina ubaguzi! acha upotoshaji!

cmd ni chama gani?
 
MChumi anangurumisha Facts,Huwezi sikia facts kama hizi wa wacheza Disco na wakware wa wake za watu. Msaidieni kucopy points Padri zitamsaidia akiwa kaskazin kwenye mkutano yake

anacho ongelea prof ni maswala ya uchumi na jinsi ya kula chakula bora na kilimo bora ufugaji wanyama ni aongelei maswala ya uongozi/utatawala jinsi ya kuongoza nchii
 
MChumi anangurumisha Facts,Huwezi sikia facts kama hizi wa wacheza Disco na wakware wa wake za watu. Msaidieni kucopy points Padri zitamsaidia akiwa kaskazin kwenye mkutano yake

we kweli huna akili,asiye jua kua karanga na maharage vimepanda bei ni nani?mwambie atueleze sera za kuikomboa nchi toka kwenye mikono ya mafisadi na kutueleza cjui,china wanakula nyama,brazi wanatengeneza ethanal blah,blah,blah,
 
Back
Top Bottom