Mwanza sio tz? Mkutano wa lisu moro sio tz? Wa juz dom? Acha pumba.hivi chadema makao yao makuu siku hizi yako arusha? mbona hii mikutano inafanyika arusha mara kwa mara kwanini wasiitishe mikutano yao mikubwa bukoba, sumbawanga au iringa...au kwa vile ni rahisi kukamata precision air kutoka dar kwenda KIA au kwa sababu mbowe makao yake ni moshi na slaa ni arusha so ni rahisi kufanyia mikutano yao A-TOWN