Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

Izak Subira mfinanga M/kiti Serikali ya mtaa Temi!!

Yohana Laizer, katibu UVCCM Longido avua gamba anavaa gwanda

Ally Bananga, anavua gamba anavaa gwanda yuko na mama yake na mdogo wake na mke wake!

Tehetehetehe, kazi ipo hapo NMC lol!
 
wakina tomaso angalieni post ya pili

Kinatomaso hawakusekani, ata wakiziona hizo picha, bado watasema hizo picha si za leo 5/5/2012 NMC, japo zote zinaonyesha tarehe ya leo
 
Ally bananga n mk, mdogo na mama yake wanavua gamba wanavaa gwanda
 
Ally Bananga jukwaani

anakabidhiwa kadi na Mbowe

... kasindikizwa na mama yake, binti yake na mkewe!
 
Izak Subira mfinanga M/kiti Serikali ya mtaa Temi!!

Yohana Laizer, katibu UVCCM Longido avua gamba anavaa gwanda

Ally Bananga, anavua gamba anavaa gwanda yuko na mama yake na mdogo wake na mke wake!

Tehetehetehe, kazi ipo hapo NMC lol!

lete mambo kamanda.
 
Mpaka kieleweke makamanda wa CDM but tunaomba Mbowe arudishe gari la KUB.
 
Izak Subira mfinanga M/kiti Serikali ya mtaa Temi!!

Yohana Laizer, katibu UVCCM Longido avua gamba anavaa gwanda

Ally Bananga, anavua gamba anavaa gwanda yuko na mama yake na mdogo wake na mke wake!

Tehetehetehe, kazi ipo hapo NMC lol!

Safi sana mkuu kwa update zako. keep it up
 
Jamaa wanatupa kadi zao za magamba kwenye dustbin,

Diwani kata ya Sombetini Alphonce Mawazo, mke wake naye anavalishwa skafu na kupewa kadi, wanatupa tunguli zao za magamba kwenye dustbin!!

Mbowe anampokea J. Millya!! Kadi zake ametupa kwenye dustbin!!
 
Sasa millya anapokelewa rasmi akifatiwa na mwenyekit wa UW na mabalozi kadhaa
 
Mwenyekiti wa wazazi na balozi nao wametupa tunguli zao,

Wengine wote wanaovua magamba nao wanaitwa..

Tehetehetehe!!
 
ccm itabidi wafanye kazi ya ziada kurudisha taasisi zao kama vile uvccm....
 
Nadhani Ndugu yangu wewe umelala unayedhani kuwa CDM iko kanda ya kaskazini tuu!!! Mbona juzi mchumi wa CCM wilaya ya Mbozi karudisha kadi na kupewa kadi ya CDM na watu maarufu 20 na zaidi. Kyaka Burifani CHADEMA kimeshinda uwenyekiti wa kijiji, hata Chato kwa Mhesimiwa Mgufuli tumusimika Mwenyekiti na watu kibao wamerudisha kadi za CCM!!! Wacheni hizo siasa zenu za kujidanganya moto wa CHADEMA unawaka nchi nzima ya Tanzania!!!Chadema Iringa, Mbeya, Mwanza, hamna mahali pa kuchomokea kubali mmekwisha!!!!

Kuna kijiji kingine kinaitwa Rwagati kule Bukoba vijijini tangu Chadema wachukue uenyekiti wa kijiji CCM imesambaratika. Kule Karagwe vijiji vingi ni Chadema na vipi mmesahau Ubungo na Mbezi yote kwa wakubwa ni Chadema? Na vipi Singida Mashariki na kule Sumbawanga je?
 
Back
Top Bottom