Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

Manyanza kama vile nyie Chadema mnavyong'ang'ania Arusha kila siku mpo huko utadhani Tanzania nzima ni Arusha.

Azimio la Arusha,jk mbona yupo Msoga ila usihofu toto yatima u pekee JF leo pole sana dogo. Kwa mbali karoho kakuuma vumilia ndo kimbunga alichosema Mr Sugu ndo hicho, Mbeya,Iringa,Mwanza,Songea,Kagera,Mkuranga etc kila kona CHADEMA tu.JNyerere aliwaambia ila uraf utawatokea puani
 
Last edited by a moderator:
Kwa sisi tulio mbali na upeo wa mkutano tunaomba mtusaidia kuyajua "magamba yaliyovuliwa na kuvalishwa gwanda. "Hivi inaoneshwa live na chanel gani, au mtandao gani nifuatiliee....Pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiz!
 
Nassari; Mkono mmoja kifuani kumkumbuka m/kiti wetu aliyeuawa!!

Mimi niko Arusha na niko Arumeru, sikupata ubunge sababu ya fedha wala historia ya familia

Nilikuwa DOdoma naibana Serikali na wananchi wa A/mashariki wanabana mafisadi katika ardhi!!

Nimekaa bungeni siku kumi na moja nimeona namna hii nchi inavyoliwa, serikali inamiliki magari ya sh trl 5, bajeti ya serikali ilikuwa milioni 11, kwa maaana hiyo nusu ya bajeti ni magari, fedha za maendeleo hazifiki na

Kama wananitishia kuniua nilishakufa toka mwaka juzi!!

Hizi harakati ndio kwanza zimeanza, tuko tayari kufa lakini hatutaacha mpaka kieleweke!!
 
Chadema kwa nini mnajikita Kaskazini tu. kila mwezi lazima mfanye mkutano Arusha.

Jiografia ya Tanzani ni kubwa mno kila siku mpo Arusha tu hamuwezi kuchukuwa nchi kwa kuitegemea Arusha peke yake kuna maeneo mengi watu hawaijui Chadema kama haya.

Namtumbo.
Mbinga.
Tunduru.
Rufiji.
Mafia.
Mkuranga.
Bagamoyo.
Mvomero.
Gairo.
Ulanga.
Urambo.
Sikonge.
Uyui.
Kibondo.
Same.
Kasulu.
Mwanga.
Nachingwea.

Sio mnakaa sehemu mmoja tu Arusha kila siku huu ni ushauri wangu kwenu ni hiyari yenu kuukataa au kuukubali.

Ritz.

JF Daima.

Hiyo ni njia moja wapo ya kugawana Posho kwa viongozi wao tu! Hakuna jipya!! Arusha Arusha Arusha!! Waacheni watu wafanye kazi basi si kila siku mikutanoni!!
 
Mbona kuna wana JF walisema amesepa. Jamani hili sio jukwaa la mipasho. hapa kuna great thinkers. Sasa kama unataka kupiga propaganda zako binafsi ni vizuri ukaenda uhuru na mzalendo.
Hiyo ni mipasho ya CCM ikiongozwa na mwenyekiti wao ukitaka kuona Arusha angalia picha ziongea....Kama leo uchaguzi ukifanyiaka na CCM wakapata kula 20000 hapa Arusha mjini nitashangaa sana.....
 
Hiyo ni njia moja wapo ya kugawana Posho kwa viongozi wao tu! Hakuna jipya!! Arusha Arusha Arusha!! Waacheni watu wafanye kazi basi si kila siku mikutanoni!!
Bahati mbaya hakuna alie lazimishwa wala hakuna aliefungiwa ofisi kama inavyofanyika anapo kuja Kikwete kwenye mikutano mbali mbali hapa Arusha....
 
Kama mbunge nadhani Nassari ajifunze vya kuongea jukwaani.
Arusha haina mbunge na sidhani kama anauwezo wa kuamrisha machinga wasitoke maeneo wanayoambiwa watoke .

Nadhani ndugu zetu CHADEMA wanote hili. Ameshakua kiongozi kwa hiyo aact kama kiongozi.

hiyo ID Name yako imeniacha mdomo wazi. Ina maana uliishiwa majina
 
Kamanda nassari anaomba polis wachukue hatua kwa walio muua mwenyekiti wa cdm arumeru,. Lasivyo watajua cdm inanguvu gani
 
Chadema kwa nini mnajikita Kaskazini tu. kila mwezi lazima mfanye mkutano Arusha.

Jiografia ya Tanzani ni kubwa mno kila siku mpo Arusha tu hamuwezi kuchukuwa nchi kwa kuitegemea Arusha peke yake kuna maeneo mengi watu hawaijui Chadema kama haya.

Namtumbo.
Mbinga.
Tunduru.
Rufiji.
Mafia.
Mkuranga.
Bagamoyo.
Mvomero.
Gairo.
Ulanga.
Urambo.
Sikonge.
Uyui.
Kibondo.
Same.
Kasulu.
Mwanga.
Nachingwea.

Sio mnakaa sehemu mmoja tu Arusha kila siku huu ni ushauri wangu kwenu ni hiyari yenu kuukataa au kuukubali.

Ritz.

JF Daima.

Subiri kidogo, wewe nasikia umevua gamba. Sasa unashindwa nini kwenda huko. Kama umeshindwa sema makamanda waingi. Inaonekana wewe ni mwoga sana.
 
Chadema kwa nini mnajikita Kaskazini tu. kila mwezi lazima mfanye mkutano Arusha.

Jiografia ya Tanzani ni kubwa mno kila siku mpo Arusha tu hamuwezi kuchukuwa nchi kwa kuitegemea Arusha peke yake kuna maeneo mengi watu hawaijui Chadema kama haya.

Namtumbo.
Mbinga.
Tunduru.
Rufiji.
Mafia.
Mkuranga.
Bagamoyo.
Mvomero.
Gairo.
Ulanga.
Urambo.
Sikonge.
Uyui.
Kibondo.
Same.
Kasulu.
Mwanga.
Nachingwea.

Sio mnakaa sehemu mmoja tu Arusha kila siku huu ni ushauri wangu kwenu ni hiyari yenu kuukataa au kuukubali.

Ritz.

JF Daima.

Waje na PEMBA! Kama hawajajihutubia wenyewe!
 
Heche anasema leo Ndesa anapokea wenyeviti wa mitaa 18 moshi.
 
Hiyo ni mipasho ya CCM ikiongozwa na mwenyekiti wao ukitaka kuona Arusha angalia picha ziongea....Kama leo uchaguzi ukifanyiaka na CCM wakapata kula 20000 hapa Arusha mjini nitashangaa sana.....

Unajua Crashwise unafanya kazi superb yaani hapa nina raha sana. Ritz anavua gamba sasa hivi. Sasa tukitoka Arusha tuanzie nyumbani kwa Ritz tukampe kadi na majukumu. Maana hana analofanya kwa sasa. Big up Crashwise.
 
Heche anasema tuna kila sababu ya kuwapongeza wakina Millya kwa sababu wao walikua kama wanawapotevu na sasa wamerudi kundini.

Anaishambulia CUF kwa kutukuza serikali ya mseto kwa kua na makamu asiye na kazi na wanastahili kuendelea kuitwa CCM B
Anasema Ukweli umebainika pia kuwa ni kweli Mbatia alikua kibara wa CCM ndio maana amepewa ubunge.

CHADEMA inaamishia kambi Lindi na Mtwara na kutetemesha zaidi.

Analalama Kikwete kufanya usaniii kwa kumteua mgonjwa Mark Mwandosya kuwa waziri asiye na wizara kamili na pia kuendelea kupanua baraza la mawaziri kutoka 50 hadi 55.

Anataka mawaziri walihusika na kashfa za mkaguzi mkuu wa serikali wafikishwe mahakamani na si kuishia tu kuvuliwa ubunge.

Anawataka wananchi wa Arusha kuwa na asira zaidi.

Anasema Leo Moshi Mjini kumenuka kwani Ndesamburo anapokea mabalozi na wenyeviti wa serikali za mitaa kutoka CCM karibu 35.

Asante Kamanda Heche.
 
nasikia James Millya ameachana na uamuzi wake wa kuhamia CDM na amekiomba radhi chama chake cha CCM. na hii ni baada ya Nanyaro kumwambia atakaa benchi kwa muda usiopungua miaka 5 bila hata cheo cha m/kiti wa kata CDM.

Ha ha ha kumbe yeye anaangalia maslahi zaidi kuliko na siyo kulitumikia taifa siyo!
 
Duh CDM mmetutenga Dar kama Atown ndio makuu....kila mchakato Atown mpaka watu wanaanza kuaminishwa na upande wa pili kuwa tupo kikanda!
But tupakumbuke makao makuu ya chama kwa harakati pia....kuna vijana wengi dar ambao wanasupport nguvu ya umma that's why kwenye majimbo yenye population kubwa ya wanaojitambua kuna mwakilishi wa CDM....Karibuni Dar!
 
Back
Top Bottom