Manyanza kama vile nyie Chadema mnavyong'ang'ania Arusha kila siku mpo huko utadhani Tanzania nzima ni Arusha.
Azimio la Arusha,jk mbona yupo Msoga ila usihofu toto yatima u pekee JF leo pole sana dogo. Kwa mbali karoho kakuuma vumilia ndo kimbunga alichosema Mr Sugu ndo hicho, Mbeya,Iringa,Mwanza,Songea,Kagera,Mkuranga etc kila kona CHADEMA tu.JNyerere aliwaambia ila uraf utawatokea puani
Last edited by a moderator: