Lema choko tu hajielewi....anatumiwa tuu mwisho wa cku na ye atapgwa chini.....Halaaa ZZK
Chadema hakifugi wahsaliti, na nina kuhakikishia wote watangoka....kila mtu atavuna alichopanda-SLAA kaanzisha chuki ndani ya chama akisahau ile kanuni ya Newton-ACTION and REACTION are equal but in opposite DIRECTION-sasa ajue na yeye aonje joto la jiwe-afadhali mtoto wa ZZK ni mkubwa, SLAA mtoto wake kwa MSHUMBUSI ndo kwanza anatambaa anataka kutuachia yatima huyu mzee
Habari hii ina ukweli maana naona kurugenzi ya habari nayo hatoi habari kwa wakati inaacha watu wapotoshwe ,ni kazi kusafisha uongo kuwa ukweli ikibidi ni bora kuwahi ukweli kablaya uongo.Good news, baada ya kutekeleza mpango huu, hawana tena nguvu za kuendelea, they are on the run.
Go DR go.
kama stori hii ni ya ukweli basi mtu wa kwanza polisi inabidi kumuoji itakuwa ni wewe kwani kulingana na timing ya post yako unaonekana kuwa na mawasiliano ya karibu sana na kinachoendelea ktk vurugu hizi maana unaonekana kushabikia na kushangilia vurugu.Wakuu,taarifa za kusikitisha ni kwamba Mkutano wa Dr.slaa umevunjika Kasulu,amepigwa mawee na vijana wasiojulikana akiwa Jukwaani,Polisi wanapiga mabomu ya Machozi Muda huu kutawanya watu,haijulikani Slaa ameumizwa kiasi gani lakini polisi wamewahi kumuokoa na kumtorosha kusikojulikana.
hali ni tete wakuu,naomba Munipe muda wa kuwawekea Picha hapa.
Pia awali Mkutano ukiwa unaendelea,Waitara ambaye ni Mkurugenzi wa CHADEMA alitangaza kuwa Matamko na mambo mengine yote ya kumtibulia Dr.slaa yanaratibiwa na Kijana Habib Mchange na Diwani mmoja wa Mwanza(Hakutaja jina).
MODS naamini mnawatu KASULU,wapigieni simu MUDA huu,Mpigieni Tumaini Makene mjue Ukweli huu.naomba muiache Post watu wachangie
Nani atamchagua huyu kikongwe?Wanampiga mawe Rais mtarajiwa? Watakuja kunywa maji kwa karai vinginevyo awasamehe bure kama Hayati Rohdlahla
Wakuu,taarifa za kusikitisha ni kwamba Mkutano wa Dr.slaa umevunjika Kasulu,amepigwa mawee na vijana wasiojulikana akiwa Jukwaani,Polisi wanapiga mabomu ya Machozi Muda huu kutawanya watu,haijulikani Slaa ameumizwa kiasi gani lakini polisi wamewahi kumuokoa na kumtorosha kusikojulikana.
hali ni tete wakuu,naomba Munipe muda wa kuwawekea Picha hapa.
Pia awali Mkutano ukiwa unaendelea,Waitara ambaye ni Mkurugenzi wa CHADEMA alitangaza kuwa Matamko na mambo mengine yote ya kumtibulia Dr.slaa yanaratibiwa na Kijana Habib Mchange na Diwani mmoja wa Mwanza(Hakutaja jina).
MODS naamini mnawatu KASULU,wapigieni simu MUDA huu,Mpigieni Tumaini Makene mjue Ukweli huu.naomba muiache Post watu wachangie