Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Kwa kweli hiyo ndo ingekuwa hekima. Hapakuwa na sababu yoyote wakati hatujasikia upande wa watuhumiwa wakijieleza. Mi naona huku ni kujaribu kumfrustrate zzk; uchokozi tu!Ziara za Dr. Slaa huko Kahama na Kigoma ziliwahishwa sana. Wangesubiri mpaka maamuzi ya hatima ya hao walioambiwa wajieleze...