BIG RESULTS NOW
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 673
- 36
Umeolewa?Njaa mbaya sana.
Tiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeolewa?Njaa mbaya sana.
Tiba
Umeolewa?
Ziara za Dr. Slaa huko Kahama na Kigoma ziliwahishwa sana. Wangesubiri mpaka maamuzi ya hatima ya hao walioambiwa wajieleze...
Mkuu avatar yake ndio imenishawishi,mtoto kaumbika huyo....!!Kwani ni mwanamke huyo?
kime stink mbaya
mtei baba mwenye nyumba
mbowe mtoto wa mwenye nyumba
slaa mpangaji
lissu mchumia tumbo ha ha ha
lema ni nani??
Kama mpo makini mtagundua kwamba hand writing ya hayo mabango yote ni moja. This means kwamba hawa vijana wanatumiwa tu. Ni aibu sana kwa kweli, siamini kama haya anayafanya Zitto. Kwa hakika hii inaweza kuwa ni kazi ya CCM. Ni wazi kwamba CCM wameamua kutake advantage ya vurugu zilizomo ndani ya CHADEMA. Lakini hakuna chama kilichofanikiwa kuchukua dola bila ya kupitia haya. Hata masimulizi ya akina Madiba juu ya ANC yanaonyesha walipitia haya yote. Kama wanachadema tusimame imara kuhakikisha dhuluma haiishindi haki.
Nimekuwa nikiandika hapa siku zote kuwa enzi za peoples' power zilikwishakupita hizi ni enzi za money power na watu walikuwa wananibeza humu; zzk kachagua pesa peoples' power inazamaNjaa mbaya sana.
Tiba