Mkutano wa ACT - Wazalendo kuhusu Mgombea Urais, Prof Anna Mghwira kuwa mgombea

Wasaalam wanaJF,

Leo saa kumi kamili jioni kile chama mwana ACT-Wazalendo kitakuwa na mkutano wa kuweka msimamo wa kuthibisha wagombea wao wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar.


===============

Update:

Sio chama cha kwanza kama sijakosea ni cha pili, 2005 Ppt maendeleo kilisimamisha Anna Senkoro ambaye kwa sasa amehamia chadema.
 
Ni rahisi sana kwani hapa Dar, Pwani, Tanga, Dodoma (kwa gari ni chini ya masaa 6) self drive na moja toka MZA kwa ndege kesho alfajiri SI LAZIMA aende yeye mbona mgombea wenu ndani ya masaa 24 alipata wadhamini 1,600,000 ama umesahau! Z'bar dk 90 amefika
Kwa gari itakuwa shida, askari wa barabani wa na tochi ya Kupima mwendo kasi. Vinginevyo aombe king'ora cha police.
 
Mradi wa Pwagu na Pwaguzi huo!!

Hivi unakumbuka kuna kuzipeleka hizo fomu Mahakama kuu? Kesho ni Ijumaa, Keshokutwa ni Jumamosi (hatufanyi kazi), Keshokeshokutwa ni Jumapili (hatufanyi kazi) muda utakuwa umeisha. NEC kuturudishia hizo fomu itakuwa Jumatatu (muda umeisha) hatupokei hizo fomu. Huu ni mradi wa kufanywa na mataahira tu!! Ila kitu kizuri kwa huyu mama atakuwa amepata uthibitisho wa kuwaonesha wajukuu zake kwamba alikuwaga na nia ya kugombea u-Rais mwaka 2015!

Sheria huwa zina options nyingi. Bila shaka kutakuwa na form ya kujaza kutaka form zao zipokelewe nje ya muda kwa kutaja sababu za kuchelewa. Sababu hizo zikifit kwenye zile zinazokubalika form zinapokelewa kama kawaida
 
Wasaalam wanaJF,

Leo saa kumi kamili jioni kile chama mwana ACT-Wazalendo kitakuwa na mkutano wa kuweka msimamo wa kuthibisha wagombea wao wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar.


===============

Update:
kwamba huyu ndio anakuwa mwanamke wa kwanza kugombea urais ni uongo , mbona Anna senkoro aliwahi kugombea APPT - maendeleo ? ( kama niko sahihi )
 
kwamba huyu ndio anakuwa mwanamke wa kwanza kugombea urais ni uongo , mbona Anna senkoro aliwahi kugombea APPT - maendeleo ? ( kama niko sahihi )

Kabisa Mkuu. Anna Senkoro anabaki katika historia ya TANZANIA km mwanamke wa kwanza kugombea urais. Act watoto wa juzi hawajui hilo!
 
Wasaalam wanaJF,

Leo saa kumi kamili jioni kile chama mwana ACT-Wazalendo kitakuwa na mkutano wa kuweka msimamo wa kuthibisha wagombea wao wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar.


===============

Update:

Acha uongo ww Act Siyo chama cha Kwanza kuweka mgombea urais mwanamke mwaka 2005 APPT-MAENDELEO kiliweka mgombea mwanamke.
 
hili ni tatizo la kukurupuka kwenye siasa...pia ni tatizo la kuwa na wanasiasa vijana wasio na historia njema ya taifa lao.
 
Hivi kume Anna Senkoro katika moja ya chaguzi zilizopitaalikuwa mwanamme? Maana naona ACT bwana Rio Tinto umeiwekea hadhi ya chama cha kwanza kusimamisha mgombea mwanamke hapa Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Wasaalam wanaJF,

Leo saa kumi kamili jioni kile chama mwana ACT-Wazalendo kitakuwa na mkutano wa kuweka msimamo wa kuthibisha wagombea wao wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar.


===============

Update:
wewe mtoto wewe, fanya utafiti kabla hujaandika. mwanamke wa kwanza akigombea urais Tanzania mwaka 2005. huyo sio mwingine ni Anna Senkoro.
 
hili ni tatizo la kukurupuka kwenye siasa...pia ni tatizo la kuwa na wanasiasa vijana wasio na historia njema ya taifa lao.

Mkuu Kwenye Karatasi ya Kura huwa wanapangaje wagombea ni katika mfumo wa Alphabet au? which means

ACT
CCM
CHADEMA
n.k
 
wewe mtoto wewe, fanya utafiti kabla hujaandika. mwanamke wa kwanza akigombea urais Tanzania mwaka 2005. huyo sio mwingine ni Anna Senkoro.

Mkuu Kwenye Karatasi ya Kura huwa
wanapangaje wagombea ni katika mfumo wa
Alphabet au? which means
ACT
CCM
CHADEMA
n.k
 
Back
Top Bottom