Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
ACT si chama cha kukurupuka wala kuropoka mgombea atafahamika leo kesho utayapata ktk magazeti mkuu ila anafahamika kwani kuna thread hum imesha anzishwa japo alie anzisha amekosea muda bado
ni kweli hamna tabia ya kukurupuka ndiomaana mlienda kumchukulia form mtu ambaye hataki kuwania nafasi hiyo.