Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Na sio wa mwisho kurudia upumbavu..what a joke...sasa wanataka jidai wataleta mabadiliko gani?These guys wanataka ogelea ktk mafuriko wakati ni watoto wa kuku....CCM imechokosa nyuki,na ile hofu kuu sasa imeingia mjini hakuna wa kuwasaidia.ACT sio chama cha kwanza kusimamisha mmama kugombea, mnamkumbuka Mama Senkolo?