Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
hao wote uliowataja ni marehemu kasoro Mugabe, halafu second sio watanzania so i they dont stand a greater chance in me kuanza kuwachambua ilihali viongozi wetu (wa vyama vyote) wanahitaji uchambuzi kamilifu !
Shukrani !
Nilikuwa nakukumbusha MAPUNGUFU ya takwimu (after saying JK alishinda kwa 80%.Dead or Alive,hoja ni kwamba USHINDI WA KISHINDO doesnt necessarily mean mchaguliwa anapendwa hususan katika siasa zetu ambazo zimetawaliwa na nini ulichonacho na sio wewe ni nani (and by "nini" simaanishi sera bali fedha na mbinu chafu),that's WHAT YOU HAVE AND NOT WHO YOU ARE.Hakuna dhambi kutolea mifano,kujadili au kuiga wasio Watanzania,if kwa kufanya hivyo tutafika tunapotaka kwenda.Sidhani kama mtu anayeipenda nchi yake hatopenda kutolea mifano ya mataifa kama Rwanda au Msumbiji ambayo yamefika hapo yalipo from the dust kwa vile tu viongozi wa nchi hizo walikuwa madarakani kwa AJILI ya wananchi na SIO WASHKAJI ZAO.By the way,mbona chama chenu kinapenda sana kutumia mifano ya conflicts za majirani zetu ku-underline hoja yao ya "amani na utulivu" (wa nyumba ndogo zao,mahekalu yao na mashangingi yao,I suppose!)