Isingekuwa video nisingeamini alichosema lakini pamoja na video bado kama siamini, ila kwa ukweli kabisa sote tunajuwa yeye ni nani na mapenzi yake yako wapi ila kwa hili kakosea sana alitakiwa ajiuzulu haraka anaweza kutuletea msiba katika nchi hii ni kauli hatari sana.
Naomba tu uchaguzi upite kwa amani ila mabadiliko ni lazima. Tukiwa na mfumo huru hii italeta changamoto kwa watawala kufanya juhudi kuwatumikia wananchi ili maendeleo tupate kama taifa badala ya kikundi fulani kuona wana madaraka juu ya wengine.
Siku zote tunasema ilituwe na ligi bora ni kuwa na marefa bora haki itendeke na kuwa na nchi bora ni kuwa na haki katika maamuzi ya wananchi hapo ndio tutaona ushindani wa kimaendeleo.
Naomba tu uchaguzi upite kwa amani ila mabadiliko ni lazima. Tukiwa na mfumo huru hii italeta changamoto kwa watawala kufanya juhudi kuwatumikia wananchi ili maendeleo tupate kama taifa badala ya kikundi fulani kuona wana madaraka juu ya wengine.
Siku zote tunasema ilituwe na ligi bora ni kuwa na marefa bora haki itendeke na kuwa na nchi bora ni kuwa na haki katika maamuzi ya wananchi hapo ndio tutaona ushindani wa kimaendeleo.