Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,988
Maswali kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kuhusu Mradi wa Reli ya SGR.
Swali: Kuna changamoto kadhaa na malalamiko yanayoripotiwa na Wafanyakazi wa SGR hasa Lot 3 na 4, nini kinachoendelea?
JIBU: Changamoto kwenye miradi mikubwa ni jambo la kawaida, muhimu ni kuzitatuwa, zipo baadhi ya Lots zimekaribia kuisha.
Swali: Ni kweli Mkandarasi Mkuu wa SGR, Yapi Merkezi ameishiwa fedha na yupo njiani kukabidhi Mradi kwa Mkandarasi mwingine katikati ya Mwaka 2024?
JIBU: Mpaka sasa kimkataba Yapi Merkezi ndiyo contractor, hatuna makubaliano yoyote na Yapi Merkezi, ya kubadilisha Mkandarasi na hawawezi ku-handover kazi kwa Mkandarasi mwingine bila ya makubaliano na TRC.
MASWALI MENGINE
- Mkandarasi Mkuu, Yapi amesema atapunguza zaidi ya Wafanyakazi 600, TRC mmekubaliana na uamuzi huo na je hauwezi kuathiri ujenzi wa Mradi?
- Wafanyakazi wanaopunguzwa wanalalamika kuhusu stahiki zao wanazotakiwa kulipwa ni kidogo, utaratibu wa kuachana upoje?
- Inadaiwa Mkandarasi hajaingiza michango ya NSSF kwa zaidi ya miezi 10
- Kwa nini malalamiko mengi hayasikiki kutoka Mkandarasi wa Lot 5
- Mradi utakamilika lini kwa kila Awamu?
JIBU: Maswali uliyoniuliza ni ya Mkurugenzi wa Yapi Merkezi au uongozi wa Yapi kujibu.
===================
==============
Hoja ya Yapi kudaiwa kukabidhi Mradi, soma hapa = Wafanyakazi SGR Itigi tumeandama, watulipe stahiki zetu kabla hawajaondoka
Swali: Kuna changamoto kadhaa na malalamiko yanayoripotiwa na Wafanyakazi wa SGR hasa Lot 3 na 4, nini kinachoendelea?
JIBU: Changamoto kwenye miradi mikubwa ni jambo la kawaida, muhimu ni kuzitatuwa, zipo baadhi ya Lots zimekaribia kuisha.
Swali: Ni kweli Mkandarasi Mkuu wa SGR, Yapi Merkezi ameishiwa fedha na yupo njiani kukabidhi Mradi kwa Mkandarasi mwingine katikati ya Mwaka 2024?
JIBU: Mpaka sasa kimkataba Yapi Merkezi ndiyo contractor, hatuna makubaliano yoyote na Yapi Merkezi, ya kubadilisha Mkandarasi na hawawezi ku-handover kazi kwa Mkandarasi mwingine bila ya makubaliano na TRC.
MASWALI MENGINE
- Mkandarasi Mkuu, Yapi amesema atapunguza zaidi ya Wafanyakazi 600, TRC mmekubaliana na uamuzi huo na je hauwezi kuathiri ujenzi wa Mradi?
- Wafanyakazi wanaopunguzwa wanalalamika kuhusu stahiki zao wanazotakiwa kulipwa ni kidogo, utaratibu wa kuachana upoje?
- Inadaiwa Mkandarasi hajaingiza michango ya NSSF kwa zaidi ya miezi 10
- Kwa nini malalamiko mengi hayasikiki kutoka Mkandarasi wa Lot 5
- Mradi utakamilika lini kwa kila Awamu?
JIBU: Maswali uliyoniuliza ni ya Mkurugenzi wa Yapi Merkezi au uongozi wa Yapi kujibu.
===================
- Awamu ya 1 Dar es Salaam – Morogoro (Km 300)
- Awamu ya 2 Morogoro – Makutupora (Km 422)
- Awam ya 3 Makutupora –Tabora (Km 294)
- Awamu ya 4 Tabora – Isaka (Km 130)
- Awamu ya 5 Isaka – Mwanza (Km 249)
==============
Hoja ya Yapi kudaiwa kukabidhi Mradi, soma hapa = Wafanyakazi SGR Itigi tumeandama, watulipe stahiki zetu kabla hawajaondoka