Acceptable
Senior Member
- Oct 7, 2020
- 153
- 302
Hiki ni kiburi wanachokipata kutoka kwa bwana yule. Like father like son!Jana wakati nafuatilia taarifa ya habari ITV saa mbili usiku niliona mgogoro ulipo katika kiwanja mojawapo kilichopo Yombo wilaya ya Temeke lakini wakati mwandishi wa habari anatafuta ukweli wa jambo hilo alipojaribu kumpigia simu Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke ajulikanaye kwa jina la Lusubilo Mwakabibi nataka ufafanuzi wa mgogoro huo kwa kuomba nafasi ya kuonana naye ofisi kwake aliishia kujibiwa kuwa huyo mwandishi hana hadhi ya kuonana naye! Swali ni je wenye hadhi ya kuonana na viongozi hawa ni waandishi wa namna gani?
Backup gani bhana, kama hawezi kufanya kazi za wananchi na wananchi arudi nyumbani kwake akakurugenzi familia yake. Wanaotafuta kazi na wenye sifa za kuwa wakurugenzi wako wengiHuyu Mkurugenzi ni kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea. Nilisikia mbwembwe zake. Hana sifa ya kuwa kiongozi bali jambazi. Nafikiri ana backup nzuri ya kufanikisha yakiyofanikishwa hivyo ndiyo maana alipayuka hovyo. Kiongozi hana maadili. Very poor communication skills.
Naomba unielewe Ndugu sipo hapa kumsafisha huyo jamaa .ila nimekwambia ndivyo alivyo hayupogo sirias sana Ni mropokaj sana .
Sasa nimsafishe kwa kipi ,nimeongea ivo coz namjua kwa kiasi maana natoka nae sehem moja japo vijiji tofaut huko Busokelo-Mbeya .
Hata huko home Ni maaluf sana sabab ya vituko vyake vya hapa na pale ,lakin tukirud kwenye ukwel jamaa hana shida kabisa na Ni mtu wa watu sana
🤣🤣🤣🤣Ati! Hebu apishe watu wafanye kaziUkurugenzi kidogo mwandishi wa habari si hadhi yake..mxiuuuuu
Yaap Ni hulka yake hiyo kuibadil Ni ngumu sana sema aangalie na mazingira .hapa sasa ndio umeongea ukweli uliposema jamaa ni mropokaji, hapaswi kuropoka hovyo
Yaani kwamba mtu akijenga jumba zuri mkoani ndio anakuwa hana njaa? Au mimi sijaelewaSio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .
Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .
Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.
Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .
So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.
Wenye pesa zao labdaJana wakati nafuatilia taarifa ya habari ITV saa mbili usiku niliona mgogoro ulipo katika kiwanja mojawapo kilichopo Yombo wilaya ya Temeke lakini wakati mwandishi wa habari anatafuta ukweli wa jambo hilo alipojaribu kumpigia simu Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke ajulikanaye kwa jina la Lusubilo Mwakabibi nataka ufafanuzi wa mgogoro huo kwa kuomba nafasi ya kuonana naye ofisi kwake aliishia kujibiwa kuwa huyo mwandishi hana hadhi ya kuonana naye! Swali ni je wenye hadhi ya kuonana na viongozi hawa ni waandishi wa namna gani?
Amefanya kama wakubwa zake, hakuna jipya.Jana wakati nafuatilia taarifa ya habari ITV saa mbili usiku niliona mgogoro ulipo katika kiwanja mojawapo kilichopo Yombo wilaya ya Temeke lakini wakati mwandishi wa habari anatafuta ukweli wa jambo hilo alipojaribu kumpigia simu Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke ajulikanaye kwa jina la Lusubilo Mwakabibi nataka ufafanuzi wa mgogoro huo kwa kuomba nafasi ya kuonana naye ofisi kwake aliishia kujibiwa kuwa huyo mwandishi hana hadhi ya kuonana naye! Swali ni je wenye hadhi ya kuonana na viongozi hawa ni waandishi wa namna gani?
wewe DED cha ulimbukeni, leo upo kesho utaacha hiyo ofisiSio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .
Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .
Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.
Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .
So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.
Mzee unamsifia mwanaume mwenzako hata chawa hafikii huko, usizoee sana wanaume tunaweza waza mengine. Labda kama una jinsia ya kike. Mwambie jamaa usilete utani kazini wamedondoshwa hadi mawaziri wakuu. Kitengo ni naniSio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .
Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .
Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.
Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .
So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.