Ni mpumbavu amelewa madaraka na ndivyo ccm inavyowalea watendaji wa serikali wana jeuri vituko vitisho rejea ndungai mahanga dpp sasa huyo mwakibibi uko kwenye ofisi ya umma unalishwa kwa kodi za wananchi including huyo mwandishi harafu anasema hana hadhi amuambia Joyce Mhaville mpigie stupid madingoSio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .
Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .
Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.
Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .
So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.