Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke aache kutisha na kufedhehesha Waandishi wa Habari

Walishindwa kitu gani hao wandishi kwwenda kwa Mkuu wa Wilaya ambaye ni Godwin Gondwe ambaye kimsingi ni Boss wake huyo DED angemlazimisha atoe majibu ya kueleweka ama angemalizana naye kisha yeye Gonmdwe alizungumzie hilo swala akiwa kama mwenye dhamana ya kila kitu kwwnye wilaya ikiwemo ulinzi na Usalama.

Viongozi wengi awamu hii ni wapuuzi sana kama mtu anamwambia mwenzie hana hadhi ya kuzungumza naye ina maana yeye anazungumza na malaika tupu ama? kwakweli tutaona mengi safari hii.
 
Yaani kwamba mtu akijenga jumba zuri mkoani ndio anakuwa hana njaa? Au mimi sijaelewa
Sio mkoan tu hata hapo dar haishi mwenye vibanda jamaa pesa ipo na sio ya kuunga unga.

Narudia Tena jamaa hana njaa Kama watu wanavyoongea hapa sema kakosea tu kuongea hivyo na ni hulka yake ila kusema ana njaaa hapana sio kweli hata akiachishwa leo ukurugenz narudia Tena hana njaa.
 
Walishindwa kitu gani hao wandishi kwwenda kwa Mkuu wa Wilaya ambaye ni Godwin Gondwe ambaye kimsingi ni Boss wake huyo DED angemlazimisha atoe majibu ya kueleweka ama angemalizana naye kisha yeye Gonmdwe alizungumzie hilo swala akiwa kama mwenye dhamana ya kila kitu kwwnye wilaya ikiwemo ulinzi na Usalama. Viongozi wengi awamu hii ni wapuuzi sana kama mtu anamwambia mwenzie hana hadhi ya kuzungumza naye ina maana yeye anazungumza na malaika tupu ama? kwakweli tutaona mengi safari hii.
lakini kwa utaratibu walichofanya itv ni sahihi maana kiutaratibu mwenye majibu ni DED
 
Sio mkoan tu hata hapo dar haishi mwenye vibanda jamaa pesa ipo na sio ya kuunga unga.

Narudia Tena jamaa hana njaa Kama watu wanavyoongea hapa sema kakosea tu kuongea hivyo na Ni hulka yake ila kusema ana njaaa hapana sio kweli hata akiachishwa Leo ukurugenz narudia Tena hana njaaa
Hizo pesa kazipata wapi? Maana inasemekana anahujumu miradi ya maendeleo kama mradi wa DMDP.
 
mzee unamsifia mwanaume mwenzako hata chawa hafikii huko....mwambie jamaa usilete utani kazini wamedondoshwa hadi mawaziri wakuu kitengo ni nani
Nimejibu hivyo kulinga na mmoja kudai ded ana njaa ,ndipo nikampa ukwel kuwa jamaa hana njaaa kabisa alaf unakuja kutukna hapa .

Au unadhan mm sijui kutukana
 
Jana wakati nafuatilia taarifa ya habari ITV saa mbili usiku niliona mgogoro ulipo katika kiwanja mojawapo kilichopo Yombo wilaya ya Temeke lakini wakati mwandishi wa habari anatafuta ukweli wa jambo hilo alipojaribu kumpigia simu Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke ajulikanaye kwa jina la Lusubilo Mwakabibi nataka ufafanuzi wa mgogoro huo kwa kuomba nafasi ya kuonana naye ofisi kwake aliishia kujibiwa kuwa huyo mwandishi hana hadhi ya kuonana naye! Swali ni je wenye hadhi ya kuonana na viongozi hawa ni waandishi wa namna gani?
Atajuta kwa nini alijibu hivyo, hana siku kwenye hy nafasi, hizi zama zingine, kajisahau.......
 
Sio mkoan tu hata hapo dar haishi mwenye vibanda jamaa pesa ipo na sio ya kuunga unga ,

Narudia Tena jamaa hana njaa Kama watu wanavyoongea hapa sema kakosea tu kuongea hivyo na Ni hulka yake ila kusema ana njaaa hapana sio kweli hata akiachishwa Leo ukurugenz narudia Tena hana njaaa
Angekuwa hana njaa asingekuwa Temeke Bro, anasugua Goti, ana njaa kali na pasipo shaka utamsikia akiomba radhi kwa aliyomjibu mwandishi. Eti Hana njaa, wabongo bwana
 
Jana wakati nafuatilia taarifa ya habari ITV saa mbili usiku niliona mgogoro ulipo katika kiwanja mojawapo kilichopo Yombo wilaya ya Temeke lakini wakati mwandishi wa habari anatafuta ukweli wa jambo hilo alipojaribu kumpigia simu Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke ajulikanaye kwa jina la Lusubilo Mwakabibi nataka ufafanuzi wa mgogoro huo kwa kuomba nafasi ya kuonana naye ofisi kwake aliishia kujibiwa kuwa huyo mwandishi hana hadhi ya kuonana naye! Swali ni je wenye hadhi ya kuonana na viongozi hawa ni waandishi wa namna gani?
mkurugenzi aliongea kwa madaha utadhani yuko kwenye kampuni yake binafsi
 
Sio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .

Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .

Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.

Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .

So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.
We unakaa tumboni kwake ndo umjue kwamba hana njaa?!
 
Sio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .

Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .

Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.

Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .

So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.
kutokuwa na njaa kwake ndio kuhalalishe kudharau waandishi? Kama mwandishi ambae anahitaji maelezo tu anajibiwa hivyo, je mwananchi mwenye shida atajibiwa nini?
Na hapo hakuna utani. Utani hufanywa kwa mtu unaemjua, mtu humjui utamtaniaje? Pia kwenye kazi huwa hakuna dhihaka. Huyo jamaa yako unaedai unamjua sana (kama sio wewe mwenyewe DED unajaribu kujisafisha) ni mlevi wa madaraka tu ambae keshajimithilisha na mungu mtu.
Sheria ya kwanza ya uongozi bora ni kumchukulia mfagiaji na meneja mkuu kwa heshima moja, sio kumpa mtu heshima kwa kulingana na hadhi yake.
 
Itoshe tu, kukumbusha kwamba wakurugenze, akiwepo Mwakabibi, walisimamia ‘jambo lile’ la October 28!
 
Back
Top Bottom