kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,699
- 2,000
Mwenye clip atuwekee basi wakuu.
Haya ni madaraka ya kulevya!
Haya ni madaraka ya kulevya!
NimesahauKada kindakindaki wa chama gani
Huyo Gondwe uliyempelekea kopi hana mamlaka yoyote kwa DED, mwenzake alifanikisha wizi wa kura Kakonko, sasa yeye ukabila tu ndio unambeba, atafanyaje?Naunga mkono hoja!
Kitendo cha mkurugenzi wa manispaa ya Temeke kujimwambafy kwamba hawezi kuongea na waandishi wadogo wadogo na kumtaka Richard Stephen akamwambie mkurugenzi wa ITV ampigie simu kwa sababu ndiye level yake kinatia kinyaa sana.
cc: DC Godwin Gondwe
DC Gondwe anaweza kumtupa Segerea huyo kaka yako kwa saa 48!Huyo Gondwe uliyempelekea kopi hana mamlaka yoyote kwa DED , mwenzake alifanikisha wizi wa kura Kakonko , sasa yeye ukabila tu ndio unambeba, atafanyaje?
I wandaa. Shangaa!!Yaani kwamba mtu akijenga jumba zuri mkoani ndio anakuwa hana njaa? Au mimi sijaelewa
Pascal MayallaSwali ni je wenye hadhi ya kuonana na viongozi hawa ni waandishi wa namna gani?
Kama anavyoona nchi washirika hawana hadhi ya kuongea nao, anamtuma Samia.Wanaiga kwa aliyewateua
Siwezi kuwa na kaka mshamba kama huyu hata kama tunatoka sehemu mojaDC Gondwe anaweza kumtupa Segerea huyo kaka yako kwa saa 48!
Pascal Mayalla naona wanakuchokozahadhi yake ni yakuhojiwa na waandishi njaa kama pascal njaa kali.
Unaogopa unknown![]()
Nahisi wewe ndiyo Ded mwenyeweSio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .
Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .
Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.
Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .
So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.
Hahahaaaa. Ufipa mshapata hoja!Nahisi wewe ndiyo Ded mwenyewe
hamna hoja ya maana hapa, ded na huyo reporter pamoja na wew wote ni matagaz.Hahahaaaa........ Ufipa mshapata hoja!
Hahahaaaa.......juzi mliwashangilia ITV kwenye press ya Mdee!hamna hoja ya maana hapa, ded na huyo reporter pamoja na wew wote ni matagaz.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us