Mkurugenzi na mkewe wafa maji Mpwapwa

Mkurugenzi na mkewe wafa maji Mpwapwa

Kuna wakati mwingine watu wanachanganya kuna tofauti kubwa kati ya bridge, pipe culvert, box culvert, drift n.k lakini watu wengi hua wanaita tuu daraja,
Ila kinachotokea dada angu kwamba kunakua na overflow yaan maji yanapita juu ya hiyo structure na yanakua mengi n speed kubwa,
Maeneo mengi katika nchi yetu ni drift ambazo zinaruhusu maji kupita juu yake sasa yakiwa mengi na speed kubwa shida inaanzia hapo

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Basi haifai sehemu maji yanapopita kuruhusu magari yapite palepale
 
Lazima wife wake ndiyo alimshinikiza wapite maana yeye alikua anawaza kuwai kazini tu! Wanaume Mambo ya hatari tuwakatalie hawa Wanawake, maana wengi wao hawajui kuipima hatari kwa mbali kama sisi Wanaume tunavyojua kizipima kwa mbali!!
Inawezekana pia mke alimwambia mumewe kuwa wasipite na mume akasema..naiamini hii gari tunapita tu hamna shida. Wanaume wengi wanajulikana kwa kung'ang'aniza ujasiri..
 
Jamaa alikuwa poa sana,mwakajana march kunajamaa aliniunganisha nae alinipeleka na hy nissan had kwny Boma la ng'ombe wa mpwapwa breeds nadhani ni njia ya kuelekea jkt.
Yeah, ulienda kuchukua Ng'ombe ama?
 
Bora maji asee...moto? Hell no[emoji1751][emoji1751][emoji24]
zote ni ajali mbaya hapo hakuna afadhali kitendo cha dakika kadhaa tuu mnakuta watu washapoteza maisha moto sio lazima uungue ukikosa hewa ya oxygen kukiwa na Moshi mwingi unaua haraka mno kama vile vifo vya wanaolala na mkaa ndani...
 
Dah so sad Hilo eneo s mara ya kwanza kusikia linaleta maafa tahadhar ichukuliwe

Nb Kuna nafas 1 idara ya mifugo na moja idara ya afya serikal itangaze nafas hiz vijana wapo tu mtaan kaz hakuna
Pole sana wafiwa.
RIP Doctor na mkewe.
Hata hivyo kosa la uzembe ni la Dr kwa uzembe.
Watu wanaona gari ni zito lakini kwenye maji ya kina kirefu gari linaelea kama boti.
Merehemu Dr dereva angekuwa na subira , umauti usingewapata.
 
Wapumzike kwa Amani marehemu wote.
 
Nimejiuliza hadi nakosa jibu hivi maji yanapita juu ya daraja au chini ya daraja?

Nijuavyo daraja linakuwa limejengewa maji yanapita chini na gari zinapita juu.

Sasa kama ndo hivyo ilikuwaje maji yakapita juu ya daraja gari zinapopita? Au daraja za dodoma zipo tofauti na daraja nyingine?
Daraja zinasombwa kabisa na Maji unashangaa kupita juu ya daraja ndugu

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Madereva wengi tunapata leseni bila kupitia mafunzo sahihi..

Wakati nasoma NIT, nakumbuka niliambiwa usipite kwenye maji yanayotembea kabisa mpaka yaishe yasiguse tairi.. sababu tairi ni mpira uliojaa upepo,, yaani ni kama boya kwenye maji.. gari na uzito wake wote wa juu limebebwa na tairi ambalo ni boya kwenye maji.. sasa boya lazima lisombwe na maji tu, bila kujali uzito gani lilobeba,,, uoni hata binadamu kibonge akipewa boya anaelea tu bila kujali uzito wake,,

Hata gari liwe limebeba mzigo mzito kama copper ama kontena la mawe. Ila kwenye maji yanayotembea linasombwa na maji tu sababu matairi ni kama maboya
Daah JF kama JF hiii elimu ni zaidi ya PhD barikiwa kiongozi [emoji120] [emoji120]
 
Inasikitisha sana. Ninachojiuliza ni kwanini watu hawajifunzi kwa vifo kama hivi, hlf kuna madereva wabishi sana atakwambia pale mimi napita.
Ila ndo hivyo kifo huja siku yoyote.
Wazee wa zamani wana usemi kifo kikikuita unaweza kukuta mtu anapata hata ujasiri wa kuonja nyongo ya mamba...
 
Back
Top Bottom