Mkurugenzi na mkewe wafa maji Mpwapwa

Mkurugenzi na mkewe wafa maji Mpwapwa

Jana dereva alitushusha pale Ntyuka aisee maji yanapita kwenye drift na speed kubwa sana akasema shukeni mvuke na miguu, tulivuka huku tumeshikana watu wanne wanne, ni hatari sana,
Pole kwa wafiwa

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Mkuu lile drift la pale wanapaita "Kwa Matrafic" ni hatari mvua ikiwa kubwa,maji huwa yanaflow kutokea bwawa la Mkalama kwa kasi kubwa.
 
Mkuu inategemea,tusikalili ,ndoto zina ujumbe mahsusi,sio tu ukilala na kuota ndoto za maji au moto basi kuna kitu kibaya kitatokea,sikweli,Bali yakupasa kuitafakari ndoto husika.

Kuna wengine kuota ndoto za maji au moto unawaka ni neeema kubwa
Good. Na kuna ndoto zingine ukiota, ni tahadhari kwako kwamba utakuwa umekula sana, chakula kizito, tena muda ukiwa umeenda sana usiku.
 
madereva wengi tunapata leseni bila kupitia mafunzo sahihi..

wakati nasoma NIT, nakumbuka niliambiwa usipite kwenye maji yanayotembea kabisa mpaka yaishe yasiguse tairi.. sababu tairi ni mpira uliojaa upepo,, yaani ni kama boya kwenye maji.. gari na uzito wake wote wa juu limebebwa na tairi ambalo ni boya kwenye maji.. sasa boya lazima lisombwe na maji tu, bila kujali uzito gani lilobeba,,, uoni hata binadamu kibonge akipewa boya anaelea tu bila kujali uzito wake,,

hata gari liwe limebeba mzigo mzito kama copper ama kontena la mawe.. ila kwenye maji yanayotembea linasombwa na maji tu sababu matairi ni kama maboya
Aisee. Basi magari yangeelea baharini
 
Jana dereva alitushusha pale Ntyuka aisee maji yanapita kwenye drift na speed kubwa sana akasema shukeni mvuke na miguu, tulivuka huku tumeshikana watu wanne wanne, ni hatari sana,
Pole kwa wafiwa

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Pole, na kuvuka mmeshikana wakati mwingine ni hatari pia kuna mzee alifikwa na umauti kwa njia hiyo maeneo ya mbezi Shamba hata mwili wake haukuonekana, alishikana na watu wengine watatu lkn yeye akaponyoka ikawa ndo kwaheri. Pia kuna Dogo alisombwa na maji kutoka mbezi Shamba, mwili wake uliokotwa Kawe baada ya siku mbili hivi. Ni vizuri kuwa makini sana na maji. Ni vizuri kusubiri maji yapite kwanza
 
RIP
Je maji yaliyotulia tu nayo vipi? Bado hamna friction force kati ya ardhi na tairi?
 
We
Aisee! BAVICHA ni BAVICHA tu. Hivi majuzijuzi tu mmeimba weee na kusema madaraja hayana faida maana si maendeleo!??? Hivi nyie mna vichwa vya kampeni na vichwa vya kampani!??? Kwenye kampeni mna moja kichwani, halafu mkiwa kwenye kampani za maendeleo, mnasahau mlikuwa mmekopa!??? Nyie woooote pamoja na Mr Mzungu wenu aliyetimkia kusikojulikana Belgium ni bure na robo.
Bn mbuzi huna akiri
 
Madereva wengi tunapata leseni bila kupitia mafunzo sahihi..

Wakati nasoma NIT, nakumbuka niliambiwa usipite kwenye maji yanayotembea kabisa mpaka yaishe yasiguse tairi.. sababu tairi ni mpira uliojaa upepo,, yaani ni kama boya kwenye maji.. gari na uzito wake wote wa juu limebebwa na tairi ambalo ni boya kwenye maji.. sasa boya lazima lisombwe na maji tu, bila kujali uzito gani lilobeba,,, uoni hata binadamu kibonge akipewa boya anaelea tu bila kujali uzito wake,,

Hata gari liwe limebeba mzigo mzito kama copper ama kontena la mawe. Ila kwenye maji yanayotembea linasombwa na maji tu sababu matairi ni kama maboya
Mkuu umetoa elimu nzuri sana!!
 
Nimejiuliza hadi nakosa jibu hivi maji yanapita juu ya daraja au chini ya daraja?

Nijuavyo daraja linakuwa limejengewa maji yanapita chini na gari zinapita juu.

Sasa kama ndo hivyo ilikuwaje maji yakapita juu ya daraja gari zinapopita? Au daraja za dodoma zipo tofauti na daraja nyingine?
 
Back
Top Bottom