Mkurugenzi na mkewe wafa maji Mpwapwa

Mkurugenzi na mkewe wafa maji Mpwapwa

Jana dereva alitushusha pale Ntyuka aisee maji yanapita kwenye drift na speed kubwa sana akasema shukeni mvuke na miguu, tulivuka huku tumeshikana watu wanne wanne, ni hatari sana,
Pole kwa wafiwa

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Inasikitisha sana. Ninachojiuliza ni kwanini watu hawajifunzi kwa vifo kama hivi, hlf kuna madereva wabishi sana atakwambia pale mimi napita.
Ila ndo hivyo kifo huja siku yoyote.
 
Hivi inakuwa Ni haraka ya dereva au ubishi wake au huwa hawapiti hapa jf?
Ubishi tu kama kawaida ya mwanadamu --- hasa nyie men. Isijekuta mkewe alimwambia mara mbili2 warudi, lakini sasa mnayo slogan ya kutoshindwa kitu. Haya ndiyo matokeo sasa. Kwa mwoga huenda kicheko; kwa shujaa huzuni. Hapa ndipo ile debate ya ^Money is better than education,^ inaaplai.
 
madereva wengi tunapata leseni bila kupitia mafunzo sahihi..

wakati nasoma NIT, nakumbuka niliambiwa usipite kwenye maji yanayotembea kabisa mpaka yaishe yasiguse tairi.. sababu tairi ni mpira uliojaa upepo,, yaani ni kama boya kwenye maji.. gari na uzito wake wote wa juu limebebwa na tairi ambalo ni boya kwenye maji.. sasa boya lazima lisombwe na maji tu, bila kujali uzito gani lilobeba,,, uoni hata binadamu kibonge akipewa boya anaelea tu bila kujali uzito wake,,

hata gari liwe limebeba mzigo mzito kama copper ama kontena la mawe.. ila kwenye maji yanayotembea linasombwa na maji tu sababu matairi ni kama maboya
Ni elimu kubwa sana yani...Kubwa mnoo!! Huyu mheshimiwa alipigia hesabu uzito wa gari akahisi atapita salama. Wapumzike kwa amani

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
madereva wengi tunapata leseni bila kupitia mafunzo sahihi..

wakati nasoma NIT, nakumbuka niliambiwa usipite kwenye maji yanayotembea kabisa mpaka yaishe yasiguse tairi.. sababu tairi ni mpira uliojaa upepo,, yaani ni kama boya kwenye maji.. gari na uzito wake wote wa juu limebebwa na tairi ambalo ni boya kwenye maji.. sasa boya lazima lisombwe na maji tu, bila kujali uzito gani lilobeba,,, uoni hata binadamu kibonge akipewa boya anaelea tu bila kujali uzito wake,,

hata gari liwe limebeba mzigo mzito kama copper ama kontena la mawe.. ila kwenye maji yanayotembea linasombwa na maji tu sababu matairi ni kama maboya
Kuna ukweli na uongo hapa. You sound so cleverly stupid.
 
madereva wengi tunapata leseni bila kupitia mafunzo sahihi..

wakati nasoma NIT, nakumbuka niliambiwa usipite kwenye maji yanayotembea kabisa mpaka yaishe yasiguse tairi.. sababu tairi ni mpira uliojaa upepo,, yaani ni kama boya kwenye maji.. gari na uzito wake wote wa juu limebebwa na tairi ambalo ni boya kwenye maji.. sasa boya lazima lisombwe na maji tu, bila kujali uzito gani lilobeba,,, uoni hata binadamu kibonge akipewa boya anaelea tu bila kujali uzito wake,,

hata gari liwe limebeba mzigo mzito kama copper ama kontena la mawe.. ila kwenye maji yanayotembea linasombwa na maji tu sababu matairi ni kama maboya
got you thank you for sharing
 
ni hasara kwa taifa kupoteza nguvu kazi.poleni TARILI,poleni familia.rip Mr&Mrs Mungu awape pumziko la amani.[emoji25].Hii ndio gari waliyozama nayo darajani wapendwa wetu,imekutwa umbali mrefu toka eneo iliposombwa na maji.[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1719388
 
Back
Top Bottom