Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Akihojiwa na Azam Two ameulizwa anaonaje matumizi ya mitandao ya kijamii katika kampeni-amejibu JamiiForums, Facebook, Instagram hata Twitter vimetumika sana.
Kisha akaulizwa: Unaonaje kati ya wagombea na vyama, kipi kimecover sana mitandao?
Akatoa jibu la moja kwa moja: Mwanzo CHADEMA walitawala sana lakini kwa sasa CCM wamewekeza fedha nyingi sana.
Kisha akaulizwa: Unaonaje kati ya wagombea na vyama, kipi kimecover sana mitandao?
Akatoa jibu la moja kwa moja: Mwanzo CHADEMA walitawala sana lakini kwa sasa CCM wamewekeza fedha nyingi sana.
Last edited by a moderator: