Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
wadau,
Wana JF, nimekuja kwenu nina shida ya millioni 6, nitarudisha kwa miezi miwili, nitaweka rehani kadi ya gari yangu Rav 4, Milango 4. Naombeni msaada mwana jamvi mwenzenu, kuna jambo maji yapo shingoni.
Natanguliza shukrani.
Wana JF, nimekuja kwenu nina shida ya millioni 6, nitarudisha kwa miezi miwili, nitaweka rehani kadi ya gari yangu Rav 4, Milango 4. Naombeni msaada mwana jamvi mwenzenu, kuna jambo maji yapo shingoni.
Natanguliza shukrani.