Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,197
- 12,380
Kuna faida gani ya kuugawa wakati kodi yoote inayokusanywa inaenda dodoma?Ukiuangalia mkoa wa Tabora utagundua ni mkubwa mno kieneo hata kiwilaya kuna Urambo, Kaliuwa, Nzega, Igunga, Manonga, Sikonge, Uliankuru na kadhalika, itafaa ukigawanywa.
Na mimi labda nitabahatisha ukuu wa mkoa.