Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,232
- 609
Sekretarieti ya Mkoa wa Tabora imependekeza kuugawa Mkoa wa Tabora ugawanywe na kuwa mikoa miwili ,kutokana na ukubwa kuliko yote nchini,kwa lengo la kutoa huduma kwa wananchi kwa urahisi na ufanisi zaidi.
Akisoma mapendekezo hayo, Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora , Bibi Kudra Mwinimvua amesema, Mkoa wa Tabora una eneo la Kilomita za mraba Elfu-75 na 865, ukiwa na wakazi milioni- 2, laki 2 Elfu-91 na 623.
Unapendekezwa kugawanywa katika mikoa ya Tabora ukiwa na wilaya saba na mkoa wa Nzega ukiwa na wilaya nne.
Akisoma mapendekezo hayo, Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora , Bibi Kudra Mwinimvua amesema, Mkoa wa Tabora una eneo la Kilomita za mraba Elfu-75 na 865, ukiwa na wakazi milioni- 2, laki 2 Elfu-91 na 623.
Unapendekezwa kugawanywa katika mikoa ya Tabora ukiwa na wilaya saba na mkoa wa Nzega ukiwa na wilaya nne.