kiraia
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 1,717
- 1,012
Mkuu unaona wivu Kilimanjaro kuwa na shule nyingi? Umeambiwa asilimia 60 ni za private? Kwanini kwenu msijenge wenyewe? Pia tambua hata wanafunzi wanaosoma Kilimanjaro wanatika mikoa mingine pia. Pia tambua mkoa wa Kilimajaro sio mkubwa kama mikoa mingine kwa hiyo tukipewa km 100 za lami zina cover sehemu nyingi tofauti na mbeya au Mwanza.Mkuu ubaguzi hautakuacha salama maishani mwako sisi ni watanzania Maendeleo ya Kilimanjaro ndio Maendeleo ya watanzania,
Umaskini wa Lindi ni umaskini wa Tanzania.
Nyie ndio maana raisi hata toka kwenu never
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app