Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Yaah mji wa Moshi 99.99% ya investers wake ni wazawa,wenzetu bk kamji kao kamejifia wamekuja warundi na wanyarwanda ndio wamefungua fungua viduka,wachaga não wamewapiga tafu kule kata ya kashai wachaga wamejenga Sana lodge na hotel hotel
Ukija kwenye usafir wachaga wamewasaidia maana mabasi ya dar _ bk ya wachaga zipo kampuni 3
Muro,Arusha exp,Osaka yaan hawana ubunifu kabisa watu Hawa ni mbwembwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kama bukoba unayoiongelea ni ya Uganda sio nayoifahamu Mimi.wachaga waijenge bukoba ? Kivip na walianza lini . utaona wanyarwanda Sawa kumbuka wahaya wengi hasa wayoza kama Mimi asili yao ni Rwanda hivyo wanafanana nao kimuonekano.halafu hiyo kashai ni kubwa na ni tarafa inayoizidi nusu ya mji wa moshi ilivyokubwa. Bado hujaongelea Rwamishenye, nshambya,ihungo, buyekera,kibeta ambazo ni suburbs kubwa Sana bukoba . kumbuka kiukubwa bukoba inaizi moshi.moshi ni kamji kadogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri useme mpinzani wa Kilimanjaro kwa maendeleo vijijini ni Kagera.

BTW mnacholaumu hata sisi tuna lawama zetu, kama sio Nyerere na TANU yake kupandikiza mamluki na kuibia KNCU maendeleo uchagani yangekuwa kama ulaya.

Hizo barabara, shule, hospital, umeme vyote ilikuwa kazi ya KNCU. Umeme ulikuwa unazalishiwa nyumba ya Mungu ulitosha kabisa kwa Mkoa mzima wa Kilimanjaro, Financer alikuw KNCU. Miundombinu ya Maji ilitengenezwa na KNCU na maji yalikuwa bure hayalipiwi hata sumni (kuna baadhi ya maeneo yalihadaika na janja ya CCM wakakubali kuboreshewa ile miundombinu mwishowe wanaambiwa walipie, Mimi kijijini kwetu walipinga na mpaka leo kijiji chetu na sehemu kubwa ya Machame maji ni bure)

Kwenye elimu KNCU achilia kujenga shule na kugharamia ada na chakula ilijitolea kusomesha best students mpaka level ya masters kwenye vyuo vikuu vya nje. Mmoja wa beneficiaries ni Edwin Mtei, Basil Mramba, Nsilo Swai (Treasurer TANU na Waziri wa Biashara na Uchumi), Eliufoo (huyo alikuwa waziri wa kwanza wa Elimu Tanganyika) na wengine wengi ambao baadae walitumia na serikali kama wataalam na wakufunzi..

Kwenye Afya pia walijenga hospital zenye hadhi kwenye wilaya zote ambapo hospitali hizohizo leo hii ndizo hospital za rufaa za wilaya.

Kwenye miundombinu walijenga barabara na madaraja sehemu mbalimbali za vijijini na mjini. Na mengi ya madaraja hayo mpaka leo yapo na utayaona tu ni madaraja ya zamani.

Kwa kufanya hayo yote TANU ikaona KNCU ni threat kwake sababu hakuna mwananchi Uchaggani alikuwa anaililia serikali kwa chochote, na wimbi la wasomi wengi ambao wanasomeshwa elimu za juu kabisa mpaka Ulaya ikawaletea shida na hofu. Hapo ndio wazo la kuiua KNCU likajongea, na kweli walifanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Kuanzia hapo wachaga hawakukata tamaa, wakarudi kwenye nyumba za Ibada kuendeleza jumuiya zao. Leo hii mnakokuita kuhesabiwa ndiko kunatatua mambo madogo madogo ya kule vijijini kama kurekebisha barabara, kujenga au kuongeza vifaa zahanati za vijijini, kurekebisha shule, kusaidia miradi mbalimbali ya vijana na mengine mengi mengi..

Ila kama sio kuiua KNCU kule tungekuwa tunafanana na Ulaya kabisa..



Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo kama hayo yalitokea Kwa vyama vikuu vya ushirika kagera KCU,BCU,na kDCU nakumbuka shule ya wasichana ya bukoba ilifutwa kabisa Kwa sababu ya kutoa wasichana wengi waliokuwa na akili kumbuka maksi zilishawahi pandishwa Kwa mkoa wa kagera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kama bukoba unayoiongelea ni ya Uganda sio nayoifahamu Mimi.wachaga waijenge bukoba ? Kivip na walianza lini . utaona wanyarwanda Sawa kumbuka wahaya wengi hasa wayoza kama Mimi asili yao ni Rwanda hivyo wanafanana nao kimuonekano.halafu hiyo kashai ni kubwa na ni tarafa inayoizidi nusu ya mji wa moshi ilivyokubwa. Bado hujaongelea Rwamishenye, nshambya,ihungo, buyekera,kibeta ambazo ni suburbs kubwa Sana bukoba . kumbuka kiukubwa bukoba inaizi moshi.moshi ni kamji kadogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unafahamu kwamba Uingereza ni ndogo sana kuliko Tz? Je tunawafikia Uingereza kwa chochote?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo yana historia yake kilimanjaro ya leo haijaibuka tu ikawa hivyo ilivyo leo ni ya siku nyingi toka wakoloni huko..

ingawa wenyeji pia wanajitambua huo ndio ukweli na wanajipenda uwezi kukuta mchaga anakimbia kwao akipata tu anaanza nyumbani then kwingine kunafuata.
kongole yenu wachaga... Ila muache uwizi!
😀😀😀😀
 
Nafikiri useme mpinzani wa Kilimanjaro kwa maendeleo vijijini ni Kagera.

BTW mnacholaumu hata sisi tuna lawama zetu, kama sio Nyerere na TANU yake kupandikiza mamluki na kuibia KNCU maendeleo uchagani yangekuwa kama ulaya.

Hizo barabara, shule, hospital, umeme vyote ilikuwa kazi ya KNCU. Umeme ulikuwa unazalishiwa nyumba ya Mungu ulitosha kabisa kwa Mkoa mzima wa Kilimanjaro, Financer alikuw KNCU. Miundombinu ya Maji ilitengenezwa na KNCU na maji yalikuwa bure hayalipiwi hata sumni (kuna baadhi ya maeneo yalihadaika na janja ya CCM wakakubali kuboreshewa ile miundombinu mwishowe wanaambiwa walipie, Mimi kijijini kwetu walipinga na mpaka leo kijiji chetu na sehemu kubwa ya Machame maji ni bure)

Kwenye elimu KNCU achilia kujenga shule na kugharamia ada na chakula ilijitolea kusomesha best students mpaka level ya masters kwenye vyuo vikuu vya nje. Mmoja wa beneficiaries ni Edwin Mtei, Basil Mramba, Nsilo Swai (Treasurer TANU na Waziri wa Biashara na Uchumi), Eliufoo (huyo alikuwa waziri wa kwanza wa Elimu Tanganyika) na wengine wengi ambao baadae walitumia na serikali kama wataalam na wakufunzi..

Kwenye Afya pia walijenga hospital zenye hadhi kwenye wilaya zote ambapo hospitali hizohizo leo hii ndizo hospital za rufaa za wilaya.

Kwenye miundombinu walijenga barabara na madaraja sehemu mbalimbali za vijijini na mjini. Na mengi ya madaraja hayo mpaka leo yapo na utayaona tu ni madaraja ya zamani.

Kwa kufanya hayo yote TANU ikaona KNCU ni threat kwake sababu hakuna mwananchi Uchaggani alikuwa anaililia serikali kwa chochote, na wimbi la wasomi wengi ambao wanasomeshwa elimu za juu kabisa mpaka Ulaya ikawaletea shida na hofu. Hapo ndio wazo la kuiua KNCU likajongea, na kweli walifanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Kuanzia hapo wachaga hawakukata tamaa, wakarudi kwenye nyumba za Ibada kuendeleza jumuiya zao. Leo hii mnakokuita kuhesabiwa ndiko kunatatua mambo madogo madogo ya kule vijijini kama kurekebisha barabara, kujenga au kuongeza vifaa zahanati za vijijini, kurekebisha shule, kusaidia miradi mbalimbali ya vijana na mengine mengi mengi..

Ila kama sio kuiua KNCU kule tungekuwa tunafanana na Ulaya kabisa..



Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa lakini hata Kagera ilihujumiwa kwa KCU na bado hata kwenye ufaulu pia.. kwa kiasi fulani Nyerere alipendelea usawa na usawa huo kupatikana kwa kuinua makabila mengine ingelikuwa ni ngumu na akaona njia bora ni kushusha kasi ya maendeleo ya jamii zilizokwishaendelea

Hii move imesababisha Tanzania karibia yote kuwa maskini lakini bado iliepusha sana masuala ya ukabila na ukanda ambao unakua kwa kasi term hii..

Mimi wachagga ni ndugu na rafiki zangu wakubwa..Napenda spirit yenu lakini pia nikifika Kagera huwa nafurahia sana upeo wa vijijini, unaweza kukuta mkulima hohe hahe anapambana mtoto wake asome private kitu ambacho ni kizuri

Tatizo la watanzania wengi ni mindset ya kwa nini hasa kwa walioendelea na bado uadui huu unapaliliwa sana kwa kuwaaminisha kuwa "KUNA SHUJAA ATAKAYEWASHUSHA WENGINE ILI WAO WAPANDE"..Hii ni mindset mbovu sana na kama Watz tungeamua kufunzana wenyewe maendeleo, tuna chance kubwa ya kutoka bila hata safari za kujifunza nchi za nje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo sio sababu mkuu, sababu ni ile ile hofu ya system kwa wachaga

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuundermine huku ndo kunaifanya Tanzania isiendelee intellectuals wengi unakuta wanatokea kwenye makabila wasioyapenda na kuyaundermine wakati ndo wangeweza kuinua uchumi huu.

Mfano mdogo Tu ni uwanja wa ndege wa kimataifa wa omkajunguti bajeti ilishapangwa kabisa na nyingine ilichangiwa na wazawa kabisa wakina mshumbusi na wenzao na umoja wa wahaya waishio marekani kujenga uwanja huo ambao ungekuwa mkubwa kabisa kuzidi hata wa mwalimu Nyerere. Eneo lilishapimwa na kuachwa kabisa .

Mheshimiwa kikwete akakataa kabisa wakati wa uongozi wake na kubadilisha matumizi kujenga uwanja wa ndege wa Kawaida wa bukoba na kuupanua lakini majanga yameikuta serikali na kujiona wamefanya makosa maana uwanja huo huko mjini na abiria wamekuwa wengi kuliko walivyotegemea

Magufuli alivyokuja kuufungua akatoa sababu ya ajabu kabisa eti eneo lile linaswamp hivyo bajeti hiyo ikaamishiwa chato.

Hivi majuzi wamejuta baada mh waziri kamwele kutembelea bukoba airport na kukuta unazidiwa na abiria huku hakuna jinsi zaidi ya kuupanua .hivyo serikali imejikuta inapigwa hasara kujenga sehemu isiyo na abiria chato na kujikuta ikiandaa bajeti nyingine kuupanua uwanja ambao Kwa sababu ya location yake utasababisha nyumba kuvunjwa na baadhi ya barabara za mji wa bukoba kufungwa tena busy road kama kashai na kashozi roads.

Serikali inabidi ijitathimi katika hili .ubaguzi na kukandamiza makabila yaliona uwezo kubadilisha tz inarudisha nyuma maendeleo ya nchi nzima.wako huko wanaendeleza sijui Pwani wakati kuna mikoa yenye Rutuba kama mikoa hii ya kagera, Kilimanjaro nk na inadharisha mazao yenye hela kama kahawa na ndizi ,chai miwa ambayo yamesahaulika na siku hiz kukumbatia korosho ambazo haziwahusu wachaga na wahaya pamoja na wenzao wanyakyusa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naelewa lakini hata Kagera ilihujumiwa kwa KCU na bado hata kwenye ufaulu pia.. kwa kiasi fulani Nyerere alipendelea usawa na usawa huo kupatikana kwa kuinua makabila mengine ingelikuwa ni ngumu na akaona njia bora ni kushusha kasi ya maendeleo ya jamii zilizokwishaendelea

Hii move imesababisha Tanzania karibia yote kuwa maskini lakini bado iliepusha sana masuala ya ukabila na ukanda ambao unakua kwa kasi term hii..

Mimi wachagga ni ndugu na rafiki zangu wakubwa..Napenda spirit yenu lakini pia nikifika Kagera huwa nafurahia sana upeo wa vijijini, unaweza kukuta mkulima hohe hahe anapambana mtoto wake asome private kitu ambacho ni kizuri

Tatizo la watanzania wengi ni mindset ya kwa nini hasa kwa walioendelea na bado uadui huu unapaliliwa sana kwa kuwaaminisha kuwa "KUNA SHUJAA ATAKAYEWASHUSHA WENGINE ILI WAO WAPANDE"..Hii ni mindset mbovu sana na kama Watz tungeamua kufunzana wenyewe maendeleo, tuna chance kubwa ya kutoka bila hata safari za kujifunza nchi za nje

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu alichofanya Nyerere kwa wahaya na kule kwetu kilididimiza nchi hii na kuifanya irudi nyuma miaka 40. Kwa mfano mfumo wa hata siku hizi hauruhusu mhaya au mchagga awe rais kwa hofu fulani wakati kuna watu wenye uwezo mkubwa sana huko. Ukweli ni kwamba tungekuwa na raisi mwenye kufuatilia mambo ya uchumi Tz tangu miaka ya nyuma tungekuwa na uchumi mzuri sana Africa pengine kulinganisha na South Africa.
 
Kuundermine huku ndo kunaifanya Tanzania isiendelee intellectuals wengi unakuta wanatokea kwenye makabila wasioyapenda na kuyaundermine wakati ndo wangeweza kuinua uchumi huu.

Mfano mdogo Tu ni uwanja wa ndege wa kimataifa wa omkajunguti bajeti ilishapangwa kabisa na nyingine ilichangiwa na wazawa kabisa wakina mshumbusi na wenzao na umoja wa wahaya waishio marekani kujenga uwanja huo ambao ungekuwa mkubwa kabisa kuzidi hata wa mwalimu Nyerere. Eneo lilishapimwa na kuachwa kabisa .

Mheshimiwa kikwete akakataa kabisa wakati wa uongozi wake na kubadilisha matumizi kujenga uwanja wa ndege wa Kawaida wa bukoba na kuupanua lakini majanga yameikuta serikali na kujiona wamefanya makosa maana uwanja huo huko mjini na abiria wamekuwa wengi kuliko walivyotegemea

Magufuli alivyokuja kuufungua akatoa sababu ya ajabu kabisa eti eneo lile linaswamp hivyo bajeti hiyo ikaamishiwa chato.

Hivi majuzi wamejuta baada mh waziri kamwele kutembelea bukoba airport na kukuta unazidiwa na abiria huku hakuna jinsi zaidi ya kuupanua .hivyo serikali imejikuta inapigwa hasara kujenga sehemu isiyo na abiria chato na kujikuta ikiandaa bajeti nyingine kuupanua uwanja ambao Kwa sababu ya location yake utasababisha nyumba kuvunjwa na baadhi ya barabara za mji wa bukoba kufungwa tena busy road kama kashai na kashozi roads.

Serikali inabidi ijitathimi katika hili .ubaguzi na kukandamiza makabila yaliona uwezo kubadilisha tz inarudisha nyuma maendeleo ya nchi nzima.wako huko wanaendeleza sijui Pwani wakati kuna mikoa yenye Rutuba kama mikoa hii ya kagera, Kilimanjaro nk na inadharisha mazao yenye hela kama kahawa na ndizi ,chai miwa ambayo yamesahaulika na siku hiz kukumbatia korosho ambazo haziwahusu wachaga na wahaya pamoja na wenzao wanyakyusa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umeongea point

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu alichofanya Nyerere kwa wahaya na kule kwetu kilididimiza nchi hii na kuifanya irudi nyuma miaka 40. Kwa mfano mfumo wa hata siku hizi hauruhusu mhaya au mchagga awe rais kwa hofu fulani wakati kuna watu wenye uwezo mkubwa sana huko. Ukweli ni kwamba tungekuwa na raisi mwenye kufuatilia mambo ya uchumi Tz tangu miaka ya nyuma tungekuwa na uchumi mzuri sana Africa pengine kulinganisha na South Africa.
Point

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kama bukoba unayoiongelea ni ya Uganda sio nayoifahamu Mimi.wachaga waijenge bukoba ? Kivip na walianza lini . utaona wanyarwanda Sawa kumbuka wahaya wengi hasa wayoza kama Mimi asili yao ni Rwanda hivyo wanafanana nao kimuonekano.halafu hiyo kashai ni kubwa na ni tarafa inayoizidi nusu ya mji wa moshi ilivyokubwa. Bado hujaongelea Rwamishenye, nshambya,ihungo, buyekera,kibeta ambazo ni suburbs kubwa Sana bukoba . kumbuka kiukubwa bukoba inaizi moshi.moshi ni kamji kadogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi ni ndogo kuliko bk lkn kimapato imeipita bk
Fuatilia takwimu za tra
Ukubwa sii hoja unaona mji wetu ulivyo smart?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sii kweli mkuu,uhayan vijii vingi vipo duni nimekupa mfano wa muleba,vijiji 35% havina umeme sasa ikiwa hata umeme bdo kuna kipi kipya?
Makaz ya wahaya sikatai vijin yapo mazuri lkn sio mengi Kama yaliyo mabovu
Lkn ukija Kilimanjaro vijiji makaz bora ni 90% ndio maana kililmanjaro ni mkoa wa 2 kwa makaz baada ya dar

Sent using Jamii Forums mobile app
✔✔✔✔✔✔✔✔✔
 
Sawasawa...
[emoji106]
[emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]
Usiturudishe nyuma kwenye point zilizoshaongelea sa.kumbuka wahaya na wachaga ni watani wapya huku .sa hiv tunaongelea jinsi mikoa hii na watu wake wanavyokuwa undermined na serikali hasa kwenye uongozi na pia katika miradi ya maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom