Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Mkuu umemaliza kila kitu..

Umeua, aya wailete Bukoba yao hapo kama inaingia..

Kingine cha kuongezea, mpaka 2025 nadhani mji wote wa Moshi utatawaliwa na maghorofa ya kisasa zaidi na uzuri ni kuwa hayo karibia 90pc yanamilikiwa na wazawa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nini hapo cha ajabu ? Halafu mliisema bukoba miti mbona mji huu umejaa miti kama nin?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulishawahi fika kahama? Yaani inazidiwa na kahama .Kaskazini hakuna kitu kabisa Arusha yenyewe ni nusu ya mwanza mji mbovu kama nini

Sent using Jamii Forums mobile app
We kweli haunazo moshi IPO mbioni kuitwa jiji,kahama hata hadhi ya Manispaa haina

Kahama imeizid bukoba sii Moshi kahamasehemu Kama hii?
tapatalk_1548941244878.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikusaidie.. Hapa ndio Bukoba bwana hahahahaha, kamji kamechakaa

Alafu tofautisha miti na msitu.. Bukoba mna misitu mjini. Ukiangalia hizo picha utaona miti ni mingi kuliko nyumba hahahaView attachment 1009597View attachment 1009598View attachment 1009599

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu utauaaaaa watu kwa presha hahaha yaan mabaiskeli ya fonex ya mwaka 1970 hadi Leo yapo mjin bukoba ? Hahaha nikishangaa nilikuta wanapasua mbao mjin bukoba kata ya rwamishenye


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umemaliza kila kitu..

Umeua, aya wailete Bukoba yao hapo kama inaingia..

Kingine cha kuongezea, mpaka 2025 nadhani mji wote wa Moshi utatawaliwa na maghorofa ya kisasa zaidi na uzuri ni kuwa hayo karibia 90pc yanamilikiwa na wazawa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Bk kujilinganisha na Moshi ni matusi ya nguoni,level ya bk ni musoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni lazima tuukubali hata kama ni mchungu. Wenzetu wachagga wanajali sana kwao na wanawekeza kwao kwanza kabla ya kwingine. Vile vile ni watu wanaojituma sana katika kutafuta elimu. Wako kila mahali kutokana na elimu waliyo nayo Kuna kabila fulani hivi nao ni wasomi na wana hela lakini hawawekezi kwao na hawaendi mara kwa mara kama wachagga wao wakifika Dar ni majigambo na kujenga mijumba mikuuubwa lakini kwao hohe hahe ndio kwakuwa kwao kuko hovyo hata wakifa wanataka wazikwe Kinondoni badala ya kupelekwa kwao na familia inaona aibu kusafirisha kutokana na mazingira yasiyokuwa rafiki huko kijijini kwao hivyo kuepuka aibu kutoka kwa waombolezaji wageni watakaokwenda huko kuzika
 
Ngoja nikusaidie.. Hapa ndio Bukoba bwana hahahahaha, kamji kamechakaa

Alafu tofautisha miti na msitu.. Bukoba mna misitu mjini. Ukiangalia hizo picha utaona miti ni mingi kuliko nyumba hahahaView attachment 1009597View attachment 1009598View attachment 1009599

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaa yaani thread inatambaa kumbe ni ushindani unaendelea..

Muleba is my hometown

Ok kilimanjaro ni kama wilaya kwa Kagera plus ilipata miundombinu mingi mapema, hali ya hewa,elimu, rasilimali za kutosha na utulivu miaka yote toka uhuru..Haijawahi pata majanga kama ilivyopata Kagera na sidhani nchi hii kuna mkoa uliopata majanga kama kagera. Kulinganisha kagera na kilimanjaro kwangu bado naona Kagera inapiga steps..

Nimetembea nchi hii sana lakini mpinzani wa Kagera katika maendeleo ya vijijini ni Kilimanjaro pekee..
So league hii ni valid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaaa yaani thread inatambaa kumbe ni ushindani unaendelea..

Muleba is my hometown

Ok kilimanjaro ni kama wilaya kwa Kagera plus ilipata miundombinu mingi mapema, hali ya hewa,elimu, rasilimali za kutosha na utulivu miaka yote toka uhuru..Haijawahi pata majanga kama ilivyopata Kagera na sidhani nchi hii kuna mkoa uliopata majanga kama kagera. Kulinganisha kagera na kilimanjaro kwangu bado naona Kagera inapiga steps..

Nimetembea nchi hii sana lakini mpinzani wa Kagera katika maendeleo ya vijijini ni Kilimanjaro pekee..
So league hii ni valid

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali wewe ni mwelewa unaongea uhalisia,Hawa washaija wenzio kina instanbul kazi yao ubishi tu nimewaletea mapicha ya Moshi nadhan watalala na viatu
Muleba naifahamu yote mkuu kwanzia nyakabango,kimwani(kule zamani walikuwa wachawi mno),ngote,runazi,rulanda, kasharunga, katunguru,magata, nshamba, kamachumu,mayondwe,izigo,muhutwe,ngenge, naifahamu vyema waitu nyegera marangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni lazima tuukubali hata kama ni mchungu. Wenzetu wachagga wanajali sana kwao na wanawekeza kwao kwanza kabla ya kwingine. Vile vile ni watu wanaojituma sana katika kutafuta elimu. Wako kila mahali kutokana na elimu waliyo nayo Kuna kabila fulani hivi nao ni wasomi na wana hela lakini hawawekezi kwao na hawaendi mara kwa mara kama wachagga wao wakifika Dar ni majigambo na kujenga mijumba mikuuubwa lakini kwao hohe hahe ndio kwakuwa kwao kuko hovyo hata wakifa wanataka wazikwe Kinondoni badala ya kupelekwa kwao na familia inaona aibu kusafirisha kutokana na mazingira yasiyokuwa rafiki huko kijijini kwao hivyo kuepuka aibu kutoka kwa waombolezaji wageni watakaokwenda huko kuzika
Naomba nikusahihishe,hawana hela hao wanaojiita wasomi, manake ma richest tz ukitoa wahindi mabilionea wazawa tz nzima ni wachaga wanaongoza, wao héla Zao zoote hawamfikii hata robo bilionea ngaleku shirima wa precision air

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umemaliza kila kitu..

Umeua, aya wailete Bukoba yao hapo kama inaingia..

Kingine cha kuongezea, mpaka 2025 nadhani mji wote wa Moshi utatawaliwa na maghorofa ya kisasa zaidi na uzuri ni kuwa hayo karibia 90pc yanamilikiwa na wazawa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaah mji wa Moshi 99.99% ya investers wake ni wazawa,wenzetu bk kamji kao kamejifia wamekuja warundi na wanyarwanda ndio wamefungua fungua viduka,wachaga não wamewapiga tafu kule kata ya kashai wachaga wamejenga Sana lodge na hotel hotel
Ukija kwenye usafir wachaga wamewasaidia maana mabasi ya dar _ bk ya wachaga zipo kampuni 3
Muro,Arusha exp,Osaka yaan hawana ubunifu kabisa watu Hawa ni mbwembwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali wewe ni mwelewa unaongea uhalisia,Hawa washaija wenzio kina instanbul kazi yao ubishi tu nimewaletea mapicha ya Moshi nadhan watalala na viatu
Muleba naifahamu yote mkuu kwanzia nyakabango,kimwani(kule zamani walikuwa wachawi mno),ngote,runazi,rulanda, kasharunga, katunguru,magata, nshamba, kamachumu,mayondwe,izigo,muhutwe,ngenge, naifahamu vyema waitu nyegera marangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakupinga unaposema uhayani vijijini kuna umaskini wa kupindukia ndo maana nipo hapa .wakati wilaya inaoufanya mkoa wa kagera uonekane maskini inajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaaa yaani thread inatambaa kumbe ni ushindani unaendelea..

Muleba is my hometown

Ok kilimanjaro ni kama wilaya kwa Kagera plus ilipata miundombinu mingi mapema, hali ya hewa,elimu, rasilimali za kutosha na utulivu miaka yote toka uhuru..Haijawahi pata majanga kama ilivyopata Kagera na sidhani nchi hii kuna mkoa uliopata majanga kama kagera. Kulinganisha kagera na kilimanjaro kwangu bado naona Kagera inapiga steps..

Nimetembea nchi hii sana lakini mpinzani wa Kagera katika maendeleo ya vijijini ni Kilimanjaro pekee..
So league hii ni valid

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri useme mpinzani wa Kilimanjaro kwa maendeleo vijijini ni Kagera.

BTW mnacholaumu hata sisi tuna lawama zetu, kama sio Nyerere na TANU yake kupandikiza mamluki na kuibia KNCU maendeleo uchagani yangekuwa kama ulaya.

Hizo barabara, shule, hospital, umeme vyote ilikuwa kazi ya KNCU. Umeme ulikuwa unazalishiwa nyumba ya Mungu ulitosha kabisa kwa Mkoa mzima wa Kilimanjaro, Financer alikuw KNCU. Miundombinu ya Maji ilitengenezwa na KNCU na maji yalikuwa bure hayalipiwi hata sumni (kuna baadhi ya maeneo yalihadaika na janja ya CCM wakakubali kuboreshewa ile miundombinu mwishowe wanaambiwa walipie, Mimi kijijini kwetu walipinga na mpaka leo kijiji chetu na sehemu kubwa ya Machame maji ni bure)

Kwenye elimu KNCU achilia kujenga shule na kugharamia ada na chakula ilijitolea kusomesha best students mpaka level ya masters kwenye vyuo vikuu vya nje. Mmoja wa beneficiaries ni Edwin Mtei, Basil Mramba, Nsilo Swai (Treasurer TANU na Waziri wa Biashara na Uchumi), Eliufoo (huyo alikuwa waziri wa kwanza wa Elimu Tanganyika) na wengine wengi ambao baadae walitumia na serikali kama wataalam na wakufunzi..

Kwenye Afya pia walijenga hospital zenye hadhi kwenye wilaya zote ambapo hospitali hizohizo leo hii ndizo hospital za rufaa za wilaya.

Kwenye miundombinu walijenga barabara na madaraja sehemu mbalimbali za vijijini na mjini. Na mengi ya madaraja hayo mpaka leo yapo na utayaona tu ni madaraja ya zamani.

Kwa kufanya hayo yote TANU ikaona KNCU ni threat kwake sababu hakuna mwananchi Uchaggani alikuwa anaililia serikali kwa chochote, na wimbi la wasomi wengi ambao wanasomeshwa elimu za juu kabisa mpaka Ulaya ikawaletea shida na hofu. Hapo ndio wazo la kuiua KNCU likajongea, na kweli walifanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Kuanzia hapo wachaga hawakukata tamaa, wakarudi kwenye nyumba za Ibada kuendeleza jumuiya zao. Leo hii mnakokuita kuhesabiwa ndiko kunatatua mambo madogo madogo ya kule vijijini kama kurekebisha barabara, kujenga au kuongeza vifaa zahanati za vijijini, kurekebisha shule, kusaidia miradi mbalimbali ya vijana na mengine mengi mengi..

Ila kama sio kuiua KNCU kule tungekuwa tunafanana na Ulaya kabisa..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaah mji wa Moshi 99.99% ya investers wake ni wazawa,wenzetu bk kamji kao kamejifia wamekuja warundi na wanyarwanda ndio wamefungua fungua viduka,wachaga não wamewapiga tafu kule kata ya kashai wachaga wamejenga Sana lodge na hotel hotel
Ukija kwenye usafir wachaga wamewasaidia maana mabasi ya dar _ bk ya wachaga zipo kampuni 3
Muro,Arusha exp,Osaka yaan hawana ubunifu kabisa watu Hawa ni mbwembwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia wanajichanga wanunue ndege yao hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nakupinga unaposema uhayani vijijini kuna umaskini wa kupindukia ndo maana nipo hapa .wakati wilaya inaoufanya mkoa wa kagera uonekane maskini inajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Sii kweli mkuu,uhayan vijii vingi vipo duni nimekupa mfano wa muleba,vijiji 35% havina umeme sasa ikiwa hata umeme bdo kuna kipi kipya?
Makaz ya wahaya sikatai vijin yapo mazuri lkn sio mengi Kama yaliyo mabovu
Lkn ukija Kilimanjaro vijiji makaz bora ni 90% ndio maana kililmanjaro ni mkoa wa 2 kwa makaz baada ya dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom