Mkoa wa Iringa hapatoshi, Mchuano wa Wagombea wa Uongozi wa CHADEMA unatisha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,722
218,283
Myovela ndiye ameanza kuchukua fomu, Japo kuna tetesi kwamba wagombea kadhaa wenye ushawishi washatia nia

Hebu ngoja Tusubiri hadi mwisho

Screenshot_2024-03-22-02-09-14-1.png
 
Fomu ya mwenyekiti ccm kwnn huwa mnatoa moja tu???
Kama ni hivyo mwenyekiti CCM angekuwa mmoja kuanzia mwaka 1986.... sisi by the way katiba yetu inataja wazi kuwa atakaye teuliwa na chama kwa unafasi ya ugombea urais ndiye mwenyekiti wa chama... kwa hiyo kinyang'anyiro cha kumpata rais huwa kinyang'anyiro huru cha kumchagua mwenyekiti wa chama.
Any way najua hujanielewa... inamaana nyie mnatuiga????
 
Back
Top Bottom