Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,722
- 218,283
Myovela ndiye ameanza kuchukua fomu, Japo kuna tetesi kwamba wagombea kadhaa wenye ushawishi washatia nia
Hebu ngoja Tusubiri hadi mwisho
Hebu ngoja Tusubiri hadi mwisho
Erythrocyte angalia wasipenyeze vibaraka wa CCM kama Katambi. Hili ni la Muhimu sana tena sana!Myovela ndiye ameanza kuchukua fomu, Japo kuna tetesi kwamba wagombea kadhaa wenye ushawishi washatia nia
Hebu ngoja Tusubiri hadi mwisho
View attachment 2941226
Fomu ya mwenyekiti ccm kwnn huwa mnatoa moja tu???fomu ya uenyekiti Taifa naruhusiwa kugombea??
je hakutakuwa na changamoto kama zilizomkuta Chacha wangwe au ZZK kwa wagombea wa nafasi hiyo?
Hilo nalo kwa maoni yangu si sawa. Turuhusiwe watia nia tujitokeze tushindwe mbele ya safariFomu ya mwenyekiti ccm kwnn huwa mnatoa moja tu???
Kama ni hivyo mwenyekiti CCM angekuwa mmoja kuanzia mwaka 1986.... sisi by the way katiba yetu inataja wazi kuwa atakaye teuliwa na chama kwa unafasi ya ugombea urais ndiye mwenyekiti wa chama... kwa hiyo kinyang'anyiro cha kumpata rais huwa kinyang'anyiro huru cha kumchagua mwenyekiti wa chama.Fomu ya mwenyekiti ccm kwnn huwa mnatoa moja tu???
Kuna jamaa alipa kuimaliza - kasepa kaiacha inadunda.Wacha wafu wazikane miaka 22 bado chadema haijulikani ni lini kitatembea!
Hata wewe pia utasepa utaiacha!Kuna jamaa alipa kuimaliza - kasepa kaiacha inadunda.
Kijana kama huyu anakubalije kuwa msukule wa mzee Mbowe?Hatari Sana.
Waendelee kumtumikia mzee MboweMungu ibariki chadema
Maswali mengine! Si kasema ni uchaguzi wa Bavicha? Picha haisomeki?Kwenye hiyo picha Miyovela ni yupi?
Mamluki tumewadhibiti vibaya mno !Erythrocyte angalia wasipenyeze vibaraka wa CCM kama Katambi. Hili ni la Muhimu sana tena sana!