Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

...Hiyo fire station ya Chattle naona in kubwa kushinda hats ya Dar!!
Kweli Chattle kuna mioto inayodtahili ama ndio Yale ya kujikuta wafanyakazi Wa Fire wanakaa Miaka Miwili bila kuzima hats ajali moja ya Moto???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tupeleke maendeleo kwanza
...Hiyo fire station ya Chattle naona in kubwa kushinda hats ya Dar!!
Kweli Chattle kuna mioto inayodtahili ama ndio Yale ya kujikuta wafanyakazi Wa Fire wanakaa Miaka Miwili bila kuzima hats ajali moja ya Moto???

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Alijitahidi kupush maendeleo lakini ndio hivyo tena... Kuna kauzembe kalitokealakini Usangi ndio sehemu ya kwanza kuendelea Wakati huo way back 80's kukiwa na mtaa maarufu wa Store Mombasa pale Kiriche

Jr
You nailed it sir, ni jambo la kawaida fulani kwa kiongozi kujaribu kuvutia maendeleo kwao, ndio haya tunayoona sasa. That id my take.
 
...Hiyo fire station ya Chattle naona in kubwa kushinda hats ya Dar!!
Kweli Chattle kuna mioto inayodtahili ama ndio Yale ya kujikuta wafanyakazi Wa Fire wanakaa Miaka Miwili bila kuzima hats ajali moja ya Moto???

Sent using Jamii Forums mobile app
Fire and rescue ama zimamoto na uokozi kazi zao si moto tu, ni pamoja na kuokoa watu wanaozama majini, ajali zote zinazotokea eneo lao la kazi nk.
 

Jr
 
Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake Umeona hiyo para hapo imepitwa kama haijaandika... Kinachojadiliwa kwa sasa ni kitu kingine kabisa... UKABILA... Na unaona nimetaja kwa uwazi kabisa Tanga Moshi na Arusha lakini mada ikageuziwa watani zangu Wachaga

Jr

Kwa nini isiwe kufanana na Mwanza yenye uchumi mkubwa na maendeleo au isiwe Dar yenye uchumi mkubwa na maendeleo pia.

'Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji' kwani Chato wanaishi tu wenyeji? Hata huko kunakosemwa kuna maendeleo kuna pia umasikini wa kutupwa!!

Kama kuna fursa za kiuchumi Mtanzania ataenda kokote kule Nchini. Kabla ya mwaka 2000 hungetegemea Geita kuwa na mzunguko mkubwa wa fedha kiasi kile. Tunduma ni mji unaokuwa kwa kasi sana na haupo Kaskazini.

Ndiyo maana kuna wengine hapo juu tukaona motive yako haikuwa njema.
Na unafahamu kabisa ukitaja Kaskazini ina tafsiri gani.

Mimi mathalani pamoja na kuwa mmoja wa Wazazi wangu katokea 'Kaskazini' lakini jambo lolote la kuonyesha uduni wa Watu kutokea maeneo mengine huwa siungi mkono. Na hili limejitokeza sana siku za karibuni. Mathalani akitokea Mtu (Mwanasiasa au Mtu maarufu) akamponda Mtu wa 'Kaskazini' hao Watu wa Kaskazini hushambulia kabila la huyo Mtu kwa maneno kama 'masikini, hamna elimu, mna njaa, ombaomba nk'. Yaani siku hizi tuna Watu wanataka waonekane ni vtictim at the same time 'wanaonewa, wana akili, wana maendeleo nk'

Let us celebrate our unity as nation. Akipata wa Bagamoyo tufurahie kwa sababu hakuna aliezuiliwa kwenda huko kufaidi fursa
 
Hahahaha , mengine tayari yamepigwa mnada na benki kama hilo lililokuwa Tai five hotel pale kona ya Bwiru tayari msukuma keshalinunua. Mchaga kashindwa kurejea mkopo wa benki CRDB.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jingine lililopigwa mnada je?
Alafu sio kwamba Tarimo alishindwa kurejesha mkopo,Ana biashara nyingi tu kwan Ana ghorofa moja? Analo jingine kule pasiansi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe huwa naziamini sana post zako lakini kwa hili unashangaza kidogo. Unakana Kyamuyolwa siyo uhayani wakati hata jina lenywe la kihaya ? Kweli Nshomile ni shida. Wakati Chato ilipohamishiwa mkoa mpya wa Geita ninyi wahaya mlipiga kelele sana kwamba Kagera imemegwa, leo mnaikana Buligi na Kyamuyola kwamba siyo uhayani ?
Huko Bugabo unakosema msukuma aende kufanya nini wakati hata wahaya wenyewe wanapakimbia migomba ilishagoma, msukuma anafuata mbuga ili alime mpunga kama Hiyo Kyamuyola, Buligi na Karagwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hapa nakuunga mkono,huyu instanbul anakana kwao,unajua kagera asilimia ndogo tu ndio kuna maendeleo,yeye anajitapa na zile sehemu chache zenye maendeleo
Hii ni tofauti na sisi kilimanjaro,huwa tunaitaja kilimanjaro kiujumla yaan wilaya zake na maendeleo kwa kila wilaya,huyu instanbul yeye yupo TAYARI kumkana mtu wa kyamyorwa au kimwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemaliza ndugu yangu
Kwa hapa nakuunga mkono,huyu instanbul anakana kwao,unajua kagera asilimia ndogo tu ndio kuna maendeleo,yeye anajitapa na zile sehemu chache zenye maendeleo
Hii ni tofauti na sisi kilimanjaro,huwa tunaitaja kilimanjaro kiujumla yaan wilaya zake na maendeleo kwa kila wilaya,huyu instanbul yeye yupo TAYARI kumkana mtu wa kyamyorwa au kimwani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siongei kishabiki, ila kasi ya ukuaji wa miji ambayo ipo kandokando ya ziwa Victoria na karibu na miji mikubwa huwa kubwa sana. Kilichokuwa kinaleta shida ni mpangilio mbovu wa Miji.

Nani atakaa Chato? Kwanza wapo waliopo lakini pia itategemea kasi ya ukuaji wa kiuchumi. Ki-nchi tunaweza kusema eneo hilo si landlocked kwa sababu linapakana na ziwa Victoria (kuna bandari kongwe ambayo iliwekwa na Wakoloni, na nafikiri unajua sehemu mkoloni alipoweka miundombinu kama hiyo alikuwa anafikiria mbali kiasi gani), Mji wa Geita, Mkoa wa Kagera na urahisi wa kufika Nchi za Rwanda na Uganda.

Kwani kipi cha kushangaza kuanzishwa Chato? Barabara? Majengo ya huduma za kijamii? Uwanja wa ndege.

Kwa hili la Uwanja wa ndege ni vyema kujikumbusha ilipoanzishwa Kia eneo ulipo Uwanja halafu rudi miaka zaidi ya 30 nyuma, Mtu angejiuliza 'unajenga vipi Kiwanja cha Kimataifa porini!' Kumbuka wakati huo zao linaloingiza fedha nyingi za kigeni ni Pamba, Katani na Korosho.

Hapa ndipo inakuja hoja hii aspect ya 'Kaskazini' ndo wenye maono kama Mtanzania mzalendo siwezi kuiunga mkono, ni kuchochea chuki.

Na ushauri wangu, Chama chochote cha siasa kisije kujinasibisha na hili
Miaka nenda rudi watu wamegoma kuhamia dodoma japo kuna bunge na wizara ya tamisemi.

Sasahivi wamepelekwa kilazima na awamu hii ikipita watarudi walipotoka.

Usilazimishe kuhamisha watu kilazima wakati hakuna sababu ya wao kuvutiwa huko.

CRDB Chato ipo wapi sahivi?

Yale ya Mobutu, unajenga uwanja wa ndege kwenu kuchochea maendeleo. Ndio maana Mkapa hakujisumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yoote makubwa yanafanywa lakini how they can stimulate the economy of that Area.
The terminology of .......!
 
Hatuna shida ya Urais,ikulu tangu enzi za nyerere mbona tupo waandamizi? Umesahau mke wa rais mkapa alikuwa mchaga?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu cha kushangaza kask, sijui viwanda wala nn watu maskin kama kwingine mlichobarikiwa wachaga ni roho ya kujikweza na misifa, tumeishi huko wilaya 3 za klm, gongo kama kawa, umaskin uleule kama wa maeneo mengi ya bongo kwa kifala tu, over
 
Back
Top Bottom