Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Waache watu wa Chato wajiletee maendeleo yao wenyewe kwa juhudi zao wakijua wanafanya nini na nini gharama ya maendeleo kuliko kuletewa maendeleo wasiyojua yanatoka wapi. Wazaramo ni watu wa asili ya Dar es Salaam. Hawa wangepaswa kuwa ndio watu walioendelea zaidi ya wengine wote Tz. Lakini kwasababu waliletewa kila kitu mlangoni hawakufanya chochote cha kujiendeleza, wakabaki wakifikiri kwamba maendeleo ni kitu cha kuletewa na wengine kama zawadi. Angalia leo hii wazaramo miaka 200 baada ya kuishi na waarabu, wajerumani, waingereza, wahindi na wapare, wachagga, n.k. bado ni primitive na wanazidi kuuza ardhi na kusogea mbali na jiji huko Mkuranga na kwingineko.
Hii point ni nzuri ila inakujumlisha na mtoa mada.Muafrika ameishi na makabila mengi ya dunuani lakini ni MTU duni zaidi duniani,wapo Marekani,ulaya,asia, Australia,.Muafrika ameenea zehemu zote duniani kuliko race nyingine zote lakini ni duni duni duni si mchaga,muhaya,mkikuyu,mzuru nk.Waafrka kwa ujumla wao ni watu duni hakna kabila lilotajiri Afrika ila tunanyoosheaba vidole.
 
Mmh.. Hapa ulikuwa unatumia Google translate?
Magu anaijen
a zaidi pwani kuliko chato na sehemu singing vilify at is Dom.
Miradi ya Dar: upanuzi was bandari,flyove, tazaea na ubungo,Barbara ya koko beach,Barbara mpaka chalinze,stiglergorge,Hospitality ya makonda,SGR nk pwani miradi ni mikubwa mwanza labda meli mby meli.Dar ameipendelwa sana.

Jr
 
Magu anaijen
a zaidi pwani kuliko chato na sehemu singing vilify at is Dom.
Miradi ya Dar: upanuzi was bandari,flyove, tazaea na ubungo,Barbara ya koko beach,Barbara mpaka chalinze,stiglergorge,Hospitality ya makonda,SGR nk pwani miradi ni mikubwa mwanza labda meli mby meli.Dar ameipendelwa sana.
Mkuu andika kiswahili tuelewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naona watu wanatoa mapovu mara kaskazini tutaisoma namba mara watulie ila kitu ambacho hamkijui ni kwamba kaskazini hakuna mtu anayelalamika wala nn yani ukienda arusha watu wanapiga kazi na hali ikiwa ngumu wanalalamika kama wa tz wengine mbona na hata ukisema sa hv kila mtu kasoma ivo wachaga hawana nafasi aliyeeendelea ameendelea tu yani mtu akisha piga hatua mbili mbele huwezi kumkuta hata kama wote mkiwa na speed moja labda ww umkimbize na usijidanganye kwamba ukijengewe hospital ,mahakama au nn au kuwa na elimu ndio una speed , self exposure ndio ina determine speed yako ya maendeleo unajua unafaanyaa nn ,
na uelewa wako kimaendeleo siku zote unategemea jamii inayokuzunguka hio ndio itaku motivate uweje kadri unavokua haijalishi umesoma haujasoma alafu mnavosema kaskazini tumejipendelea for the record hakuna makamu wala raisi aliyetokea huko ukisema ma prime minister ni wawili watatu ndio walidumu lowasaa usimuhesabie alikaa miaka 2 na bado alichofanya kikubwa ni chuo cha udom ila bado mta muita mbaguzi sokoine usimuhesabie maana wote tunajua alipambania kombe la taifa hapo utabaki na msuya na sumaye kidogo hao unaweza sema walijipendelea ila n nn walikipendelea ambacho kimekufa ukiangalia jibu ni hakuna zaidi ya kwamba vimezidi kuendelezwa
huu ujinga wa kutokubali kuwa mwenzako yuko mbele yako ndio unasababisha tusiendelee wote kubali umepitwa afu anza mbio umshinde upendeleo wa serikali hautakaa utupeleke popote mpaka sisi wenyewe tujue tunafanya nn
mtu atakuuliza wachaga wana nn emu ka google wealth tribe in tz na EA utajua wana nn unaposhindana na kaskazini hususani wachaga lazima ujue unashindana karibia na tz nzima maana sehemu nyingi wachaga wamezishika hususani sekta za kiuchumi kwanzia maduka nk hata kama ukisoma sa hv afu bado sukari unanunua kwa mangi ujue tayari ushaachwa na elimu yako utaishia kutafuta kazi tu
ungekuta kupendelewa na gvt ndio kuna favour watu nahisi wazaramo walipaswa wawe matajiri zaidi africa maana kila kitu kinaanzia dar
siku zote asiyekubali kushindwa sio mshindani
mtu yoyote ambaye yuko kwenye mlolongo wa biashara anajua kabisa nani ni nani na biashara tunafanya kwa umoja bila kujali mchaga wala nani
mshana umeleta point ila watu wamewehuka tu nakuwaza ukabila japo pia umekosea usingesema kaskazini waokoe jahazi ungesema tu watanzania waokoe jahazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mshana umeleta point ila watu wamewehuka tu nakuwaza ukabila japo pia umekosea usingesema kaskazini waokoe jahazi ungesema tu watanzania waokoe jahazi
naona watu wanatoa mapovu mara kaskazini tutaisoma namba mara watulie ila kitu ambacho hamkijui ni kwamba kaskazini hakuna mtu anayelalamika wala nn yani ukienda arusha watu wanapiga kazi na hali ikiwa ngumu wanalalamika kama wa tz wengine mbona na hata ukisema sa hv kila mtu kasoma ivo wachaga hawana nafasi aliyeeendelea ameendelea tu yani mtu akisha piga hatua mbili mbele huwezi kumkuta hata kama wote mkiwa na speed moja labda ww umkimbize na usijidanganye kwamba ukijengewe hospital ,mahakama au nn au kuwa na elimu ndio una speed , self exposure ndio ina determine speed yako ya maendeleo unajua unafaanyaa nn ,
na uelewa wako kimaendeleo siku zote unategemea jamii inayokuzunguka hio ndio itaku motivate uweje kadri unavokua haijalishi umesoma haujasoma alafu mnavosema kaskazini tumejipendelea for the record hakuna makamu wala raisi aliyetokea huko ukisema ma prime minister ni wawili watatu ndio walidumu lowasaa usimuhesabie alikaa miaka 2 na bado alichofanya kikubwa ni chuo cha udom ila bado mta muita mbaguzi sokoine usimuhesabie maana wote tunajua alipambania kombe la taifa hapo utabaki na msuya na sumaye kidogo hao unaweza sema walijipendelea ila n nn walikipendelea ambacho kimekufa ukiangalia jibu ni hakuna zaidi ya kwamba vimezidi kuendelezwa
huu ujinga wa kutokubali kuwa mwenzako yuko mbele yako ndio unasababisha tusiendelee wote kubali umepitwa afu anza mbio umshinde upendeleo wa serikali hautakaa utupeleke popote mpaka sisi wenyewe tujue tunafanya nn
mtu atakuuliza wachaga wana nn emu ka google wealth tribe in tz na EA utajua wana nn unaposhindana na kaskazini hususani wachaga lazima ujue unashindana karibia na tz nzima maana sehemu nyingi wachaga wamezishika hususani sekta za kiuchumi kwanzia maduka nk hata kama ukisoma sa hv afu bado sukari unanunua kwa mangi ujue tayari ushaachwa na elimu yako utaishia kutafuta kazi tu
ungekuta kupendelewa na gvt ndio kuna favour watu nahisi wazaramo walipaswa wawe matajiri zaidi africa maana kila kitu kinaanzia dar
siku zote asiyekubali kushindwa sio mshindani
mtu yoyote ambaye yuko kwenye mlolongo wa biashara anajua kabisa nani ni nani na biashara tunafanya kwa umoja bila kujali mchaga wala nani
mshana umeleta point ila watu wamewehuka tu nakuwaza ukabila japo pia umekosea usingesema kaskazini waokoe jahazi ungesema tu watanzania waokoe jahazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Natambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita..
Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya wilaya CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA

Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu

Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa

Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.

Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena

Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake

Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....

Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!

Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...

Nimemaliza...!!!!

Jr
Kule Same tuliambiwa kinaanzishwa kiwanda cha tangawizi hadi leo ni historia,huko Kilimanjaro na Arusha ukiwa masikini unakuwa masikini kweli,mwishowe wanaishia kunywa mbege na kuuza bange,hakuna cha afadhali sijui eti mikoa ya kaskazini wananchi wake wapo njema ,ni baadhi tu wenye nafasi zao,kilimanjaro watu wanalala na ng;ombe kwenye vihamba vyao,na Upareni ndio usiseme,huko meru ndi kazi kutembeza karoti
 
Kule Same tuliambiwa kinaanzishwa kiwanda cha tangawizi hadi leo ni historia,huko Kilimanjaro na Arusha ukiwa masikini unakuwa masikini kweli,mwishowe wanaishia kunywa mbege na kuuza bange,hakuna cha afadhali sijui eti mikoa ya kaskazini wananchi wake wapo njema ,ni baadhi tu wenye nafasi zao,kilimanjaro watu wanalala na ng;ombe kwenye vihamba vyao,na Upareni ndio usiseme,huko meru ndi kazi kutembeza karoti

Jr
 
Magu anaijen
a zaidi pwani kuliko chato na sehemu singing vilify at is Dom.
Miradi ya Dar: upanuzi was bandari,flyove, tazaea na ubungo,Barbara ya koko beach,Barbara mpaka chalinze,stiglergorge,Hospitality ya makonda,SGR nk pwani miradi ni mikubwa mwanza labda meli mby meli.Dar ameipendelwa sana.
Dar ilikuwepo hata enzi za Nyerere. Nataka uniambie Bagamoyo kwake Msavu kafanya nini kama huyu anavyofanya chato. Umeorodhesha vya Msukuma/Msubi/Mhutu orodhesha na vya Mkwere
 
Shinyanga iliuwawa pale mkapa alipoamua kuwapa migodi mabeberu,wasukuma wakageuka kuwa vibarua badala ya wamiliki.Shinyanga ilikuwa inaghala la chakula nmc sidhani kama kuna mkia ulikuwa ukifikia,hali ya hewa imebafirika mvua hazinyeshi, ng'ombe wamepungua,wasukuma wamehamia mikoa mingine kutafuta nyasi.Pamba kushuka being nk.Kahama bado kuna mvua,lango la Rwanda,inapokea vyakula kutoka kagera na kigoma, madini ni mengi.
Bora Mji wa Kahama ungeendelezwa ningeona kweli ni kwa ajiri ya Kanda hiyo maana Kahama wa Ngara wanafika Kirahisi, Karagwe wanafika kirahisi
 
Tofauti ya mikakati ya kuinua watu.Watu wa kaskazini walikuwa na mikakati ya kimafia kama walivyo watu weupe kiasi kwamba kugundua ni vigumu.

Wakati hawa wengine wanafanya vitu kama viwanda majengo n.k,watu wa Kilimanjaro,walitengeneza nafasi nyingi za elimu kwa ajili ya watu wao.Mfano yuko jamaa yangu mmoja,walikwenda likizo fulani ya mwisho wa mwaka,kipindi kile tra ina inatarajiwa kuanzishwa,tajiri mmoja alitafuta kozi zinazohusiana na mambo ya kodi,nje ya nchi,aliandikisha wachaga zaidi 100,wakapewa masharti kubadili majina badala ya mfano Elihuruma Masawe,anaambiwa aandike jina la ubatizo la baba yake,na hivyo anakuwa mfano Elihuruma Joachim.

Waliandikishwa mikataba ya siri ili kulipiwa mafunzo hayo,kwa lengo la kuja kumrudishia tajiri huyo pindi wanapopata kazi.

Bahati nzuri line up ilipangwa kiintelijensia kuanzia kwa waziri wa fedha.Na kwa hiyo ilikuwa kila mradi wenye pesa za kutosha,utakuta mtu wa kaskazini,wilaya zenye hela mfano Kahama,ulikuta safu ya watu wa kaskazini kuanzia halmashauri hadi benki zinazotumika kupitisha malipo ya serikali.

Kama ningekuwa mimi,ndio napata bahati ya kuwa na nafasi ya kutoa maamuzi hivyo,kwetu ningewekeza kwenye elimu ya hali ya juu kabisa.
Na elimu ninayozungumza mimi siyo hii ya show off na div 1 nyingi zisizo na faida.
Ningewekeza kwenye teknolojia na mpira wa miguu kwa watoto wa umri kuanzia miaka minne.Huu ujinga wa kupotezea muda wanafunzi kwenye madarasa saba kisha manne halafu mawili ningeutupilia mbali.

Hao ndio wangejenga lami,mahoteli,na mabank hapo baadae




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana kwa kuona mbali mkuu
Tofauti ya mikakati ya kuinua watu.Watu wa kaskazini walikuwa na mikakati ya kimafia kama walivyo watu weupe kiasi kwamba kugundua ni vigumu.

Wakati hawa wengine wanafanya vitu kama viwanda majengo n.k,watu wa Kilimanjaro,walitengeneza nafasi nyingi za elimu kwa ajili ya watu wao.Mfano yuko jamaa yangu mmoja,walikwenda likizo fulani ya mwisho wa mwaka,kipindi kile tra ina inatarajiwa kuanzishwa,tajiri mmoja alitafuta kozi zinazohusiana na mambo ya kodi,nje ya nchi,aliandikisha wachaga zaidi 100,wakapewa masharti kubadili majina badala ya mfano Elihuruma Masawe,anaambiwa aandike jina la ubatizo la baba yake,na hivyo anakuwa mfano Elihuruma Joachim.

Waliandikishwa mikataba ya siri ili kulipiwa mafunzo hayo,kwa lengo la kuja kumrudishia tajiri huyo pindi wanapopata kazi.

Bahati nzuri line up ilipangwa kiintelijensia kuanzia kwa waziri wa fedha.Na kwa hiyo ilikuwa kila mradi wenye pesa za kutosha,utakuta mtu wa kaskazini,wilaya zenye hela mfano Kahama,ulikuta safu ya watu wa kaskazini kuanzia halmashauri hadi benki zinazotumika kupitisha malipo ya serikali.

Kama ningekuwa mimi,ndio napata bahati ya kuwa na nafasi ya kutoa maamuzi hivyo,kwetu ningewekeza kwenye elimu ya hali ya juu kabisa.
Na elimu ninayozungumza mimi siyo hii ya show off na div 1 nyingi zisizo na faida.
Ningewekeza kwenye teknolojia na mpira wa miguu kwa watoto wa umri kuanzia miaka minne.Huu ujinga wa kupotezea muda wanafunzi kwenye madarasa saba kisha manne halafu mawili ningeutupilia mbali.

Hao ndio wangejenga lami,mahoteli,na mabank hapo baadae




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia akili kufikiri kaka,ule ni mgongo tu wa kupitia,ila mtoa pesa ni serikali. Msikiti unaingiza watu 6k Chato kuna idadi hiyo ya waislam?

Ni kwa vile tu kanisa ni taasisi kubwa na usimamizi unatoka nje ungesikia parokia kubwa inajengwa Chato lakini haiwezekani
huo msikiti ulijengwa kwa fedha za umma?,msikitiki usiosafishwa ni kosa la jk?je kuna miradi mikubwa msoga?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom