Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Hakuna kitu cha kushangaza kask, sijui viwanda wala nn watu maskin kama kwingine mlichobarikiwa wachaga ni roho ya kujikweza na misifa, tumeishi huko wilaya 3 za klm, gongo kama kawa, umaskin uleule kama wa maeneo mengi ya bongo kwa kifala tu, over
Naona unatokwa povu
Hujui kuwa kilimanjaro ni mkoa wa pili kwa watu wake kuwa na kipato kikubwa? Hujui kuwa kilimanjaro watu wake 90% Wana maisha Bora(kwa mujibu wa takwimu za serikali)
Ulishawahi sikia umeme wa REA kilimanjaro? Kule upo tangu enz na enz
Ulishawahi sikia shida ya maji kilimanjaro?
Ulishawahi ona watoto wa shule wanakalia mawe kilimanjaro?
Kilimanjaro Ni mkoa wa kwanza Tanzânia kuwa na shule nyingi licha ya kuwa ka mkoa kadogo
Kilimanjaro karibu kila wilaya ina hospital tatu vituo vya afya vingi
Tofauti na maeneo mengi ambayo hata hospital ya WILAYA hakuna
Kilimanjaro Hadi vijijin Kuna lami
Watu wa kilimanjaro wanapenda Sana maendeleo kule vunjo wananchi walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za jimbo hii kitu haijawahi TOkea popote Tanzania
Hebu ona mandhari ya vijin huko kilimanjaro ndio uone tofauti
Hakuna mkoa wowote TANZANIA unaofikia kilimanjaro kwa makazi Bora vijijin
tapatalk_1577111012721.jpeg
tapatalk_1577025287292.jpeg
FB_IMG_15702098938113855.jpeg
976997499.jpeg
209104080.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hzo gorofa hata kwingine kwingi zipo acha ushamba, wadanganye ambao hawakujui. Tembea mikoa mingi uone mbona viwanda hakuna zaidi ya gongo? Tujumba huto umeona ndo klm tu au huajasoma shule mjomba? Kanda ya ziwa ni shida unajifanya hujui
 
Hzo gorofa hata kwingine kwingi zipo acha ushamba, wadanganye ambao hawakujui. Tembea mikoa mingi uone mbona viwanda hakuna zaidi ya gongo? Tujumba huto umeona ndo klm tu au huajasoma shule mjomba? Kanda ya ziwa ni shida unajifanya hujui
Eti Nini?
Hiyo mighorofa ulioiona ipo vijin ndani ndan sio mjini
Unasema hizo nyumba za kawaida ? Hahaha kule vijin kwenu maswa,bariadi ,solwa zipo?
Hebu nipostie hapa za vijijin kwenu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hzo gorofa hata kwingine kwingi zipo acha ushamba, wadanganye ambao hawakujui. Tembea mikoa mingi uone mbona viwanda hakuna zaidi ya gongo? Tujumba huto umeona ndo klm tu au huajasoma shule mjomba? Kanda ya ziwa ni shida unajifanya hujui
Nauliza kuna sehemu yoyote tz wananchi Wana uwezo wa kuchangia bilion 7 kukarabati barabara Kama walivyofanya wananchi wa vunjo?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.

“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.

Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.

Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.

Chanzo: Mwananchi.

*NB: Kwa nini wamecheka?*

Jr
 
Natambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita..
Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya wilaya CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA

Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu

Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa

Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.

Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena

Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake

Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....

Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!

Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.

Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...

Nimemaliza...!!!!

Jr
Nilikutegemea uorodheshe vitu alivyofanya kwao Mkwere kama ulivyofanya kwa huyu mkosa kabila mara Msukuma, mara Msubi, mara mhutu
 
Kuweka majengo mazuri ya mahakama ni ishara kuwa wahalifu ni wengi sana eneo husika, wangeweka mashule, mahospitali(ingawa nasikia itajengwa ya rufaa) ingawa pia uwezo wa ninadamu wa kule kumudu gharama za matibabu ni questionable.
Yatabaki magofu come 2030
Dah, haya mkuu yetu macho uliyosema yana ukweli wake. Jengo la mahakama wilaya ya Chato ni hatari kuliko mikoa mingi niyotembelea na hakika muendelezo wa hayo yote itakuwa ni changamoto kwani rasilimali watu haijaendelezwa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikwete mnamuonea tu. Mimi ni mkazi wa chalinze lkn sijaona kikubwa alichojifanyia pale jimboni kwake zaidi ya kuweka zile chalinze bypass (msata-bagamoyo; Msoga-Msolwa)- kwa kiwango cha lami ambazo kimsingi zimesaidia kupunguza msongamano wa magari pale chalinze. Ameshindwa hata kuwajengea watu wake wa mji wa chalinze Hospitali ya maana, hadi leo kipo kizahanati. Maji waliweka mradi mdogo ambao mara kibao maji yanasumbua. Mzee Kikwete hakulipigania jimbo lake hakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima kubalance story
Kikwete mnamuonea tu. Mimi ni mkazi wa chalinze lkn sijaona kikubwa alichojifanyia pale jimboni kwake zaidi ya kuweka zile chalinze bypass (msata-bagamoyo; Msoga-Msolwa)- kwa kiwango cha lami ambazo kimsingi zimesaidia kupunguza msongamano wa magari pale chalinze. Ameshindwa hata kuwajengea watu wake wa mji wa chalinze Hospitali ya maana, hadi leo kipo kizahanati. Maji waliweka mradi mdogo ambao mara kibao maji yanasumbua. Mzee Kikwete hakulipigania jimbo lake hakika

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Msukuma ana hela sana, lakini ni mtu wa kuridhika mapema!. Booster la Chato litafanya kazi hata Meko akiondoka lakini litaishia kuiinua Chato pekee!.
Ukiiangalia Mwanza imeendelea lakini hao hao wasukuma ndio wapo Shinyanga, angalia Kahama inaendelea lakini kwanini sio Shinyanga nzima?).
Tunapiga kazi lakini tunaridhika mapema!.
tunaamini ushindani ni kuvunja undugu
Shinyanga iliuwawa pale mkapa alipoamua kuwapa migodi mabeberu,wasukuma wakageuka kuwa vibarua badala ya wamiliki.Shinyanga ilikuwa inaghala la chakula nmc sidhani kama kuna mkia ulikuwa ukifikia,hali ya hewa imebafirika mvua hazinyeshi, ng'ombe wamepungua,wasukuma wamehamia mikoa mingine kutafuta nyasi.Pamba kushuka being nk.Kahama bado kuna mvua,lango la Rwanda,inapokea vyakula kutoka kagera na kigoma, madini ni mengi.
 
Magu anaijen
Nilikutegemea uorodheshe vitu alivyofanya kwao Mkwere kama ulivyofanya kwa huyu mkosa kabila mara Msukuma, mara Msubi, mara mhutu
a zaidi pwani kuliko chato na sehemu singing vilify at is Dom.
Miradi ya Dar: upanuzi was bandari,flyove, tazaea na ubungo,Barbara ya koko beach,Barbara mpaka chalinze,stiglergorge,Hospitality ya makonda,SGR nk pwani miradi ni mikubwa mwanza labda meli mby meli.Dar ameipendelwa sana.
 
Back
Top Bottom