Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,357
- 12,306
Acha kujisifia mdaku wewe . Watumishi wachanga wengi walipika vyeti wametimuliwa . Ndo Mana mnahangaika tuTumepakimbia kivipi? Ile mijengo mikali vijijn imejijenga yenyewe?
Sababu kuu ya Wana Kilimanjaro kuwa nje ya mkoa Ni elim Hakuna Kijiji Chochote tz utamkosa mtumishi mchaga
Pia sababu nyingine Ni biashara,ulishaona mfanyabiashara anakaa sehemu moja?
Tanzania nzima wapo na wanamiliki vitega uchumi,huwez kukua kiuchumi kwa kukaa eneo moja hiyo ni principe of economy
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app










