Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Abiria wa treni ya Dar-Kigoma-Dar wamelalamikia kitendo cha mabehewa ya deluxe kuhamishiwa treni ya Dar- Moshi-Dar.

Uchunguzi umebaini kuwa, sababu za kuhamisha mabehewa hayo ni kwamba, treni ya Dar-Kigoma ambayo husafiri kwa siku 3, abiria wanakunywa kreti 20 za bia, wakati treni ya Dar-Moshi inayosafiri kwa saa 16 abiria wanakunywa kreti 150 za bia.



Jr
Hii ndio inayotofautisha kilimanjaro na maeneo mengine,wana Kilimanjaro wanapenda maendeleo mno serikali inajipatia Kodi kwa urahisi mno inapofanya biashara na wana Kilimanjaro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kujisifia mdaku wewe . Watumishi wachanga wengi walipika vyeti wametimuliwa . Ndo Mana mnahangaika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Watumishi hewa walikuwa wa kila eneo
Kwamba watumishi hewa wote walikuwa wachaga? Idiot
Mbona wamejaa télé hadi sasa? Pita tra,bandar,ma bank yote,tcra,takukuru ,mikoani,wilayan uone walivyojaa
hao waliotenguliwa Ni 0.005% ya waliopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe huwa naziamini sana post zako lakini kwa hili unashangaza kidogo. Unakana Kyamuyolwa siyo uhayani wakati hata jina lenywe la kihaya ? Kweli Nshomile ni shida. Wakati Chato ilipohamishiwa mkoa mpya wa Geita ninyi wahaya mlipiga kelele sana kwamba Kagera imemegwa, leo mnaikana Buligi na Kyamuyola kwamba siyo uhayani ?
Huko Bugabo unakosema msukuma aende kufanya nini wakati hata wahaya wenyewe wanapakimbia migomba ilishagoma, msukuma anafuata mbuga ili alime mpunga kama Hiyo Kyamuyola, Buligi na Karagwe.
Kuwa wilaya sio sababu.

Je kyamyorwa kuna mikahawa na migomba?

Na huko ni nje kidogo y a uhayani.


Siku msukuma akianzisha makazi kamachumu au bugabo huko ndo nitaelewa kuwa wakazi wameingia uhayani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha , mengine tayari yamepigwa mnada na benki kama hilo lililokuwa Tai five hotel pale kona ya Bwiru tayari msukuma keshalinunua. Mchaga kashindwa kurejea mkopo wa benki CRDB.
UNA uhakika?
Na maghorofa yao mengine nikianza kukutajia hapa si nitakesha? Mwanza wachaga wana ghorofa nyingi mno, ukienda arusha mjin pale 80% ya ghorofa Ni zao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ulishawahi kuona Kiwanja kinauzwa moshi/kilimanjaro?

Hii ndio Tofauti ya Kaskazini na wengine.

Jamani tuwache wachaga.
Kuna vitu wametuzidi sisi wengine.
Cha msingi tukae nao karibu watupe maujanja yao tu.

Nawasilisha

Uduzungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe nawe ni shida uliona wapi sehemu iliyoendelea wanaishi wazawa tu ? Nenda popote duniani iwe Marekani, Dubai n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yoga si vizuri kufuatilia visivyo vema na vinavyodhalilisha

Jr
Ulipoweka uzi huu hapa, maana yake usomwe, na coments zitolewe, na asiye na coments asome za wengine au afungue mwingine asome na kutoa coments zake!! Nimetoa yangu kulingana na ulivyo andika.

Kwa maoni yangu uzi wako unadharirisha watu wakanda ya ziwa na kuwapraise watu wa kaskazini, si vizuri na si vyema!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heading inasemaje!? Hebu isome tena yoga... Hiyo kaskazini ni segment ndogo sana kwenye mada nzima lakini kwa mshangao ndio imekuwa kitovu cha mjadala...
Mada ililenga Pwani na CHATO lakini from nowhere imepinduliwa ikapinduka pinduuuu
Ulipoweka uzi huu hapa, maana yake usomwe, na coments zitolewe, na asiye na coments asome za wengine au afungue mwingine asome na kutoa coments zake!! Nimetoa yangu kulingana na ulivyo andika.

Kwa maoni yangu uzi wako unadharirisha watu wakanda ya ziwa na kuwapraise watu wa kaskazini, si vizuri na si vyema!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake
Ulipoweka uzi huu hapa, maana yake usomwe, na coments zitolewe, na asiye na coments asome za wengine au afungue mwingine asome na kutoa coments zake!! Nimetoa yangu kulingana na ulivyo andika.

Kwa maoni yangu uzi wako unadharirisha watu wakanda ya ziwa na kuwapraise watu wa kaskazini, si vizuri na si vyema!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona hiyo para hapo imepitwa kama haijaandika... Kinachojadiliwa kwa sasa ni kitu kingine kabisa... UKABILA... Na unaona nimetaja kwa uwazi kabisa Tanga Moshi na Arusha lakini mada ikageuziwa watani zangu Wachaga

Jr
 
jakaya alichofanya cha maana pwani ni miundombinu ya maji (mabomba ya mchina) ila maendeleo mengine yapo kwao huko chalinze msoga
 
Back
Top Bottom