kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,434
- 17,203
Bado lakini nipo mbali nae sana lasivyo mambo yangekuwa sio mamboUmeshaimarika?
Maana....![]()




Kuimarika....hujanielewa😂Bado lakini nipo mbali nae sana lasivyo mambo yangekuwa sio mambo![]()
Aliwahi kuniambia mume wangu hivi....Kuna namna nikahisi ni true love.Nimempenda bila sababu yoyote.. Huwa hata nakaa namuangaliaa.. najikuta sioni sababu ya kumpenda .. ila ndio nimeisha mpenda bila sababu
Mchele haumwagwi mbele ya kunguru😂Nieleweshe basi![]()
labda ndio mimi mume, sema hujui tu ID yake ya Jf 😅😅😅Aliwahi kuniambia mume wangu hivi....Kuna namna nikahisi ni true love.
Wee shogareee hujanipaa ubuyuu, kwan imekuajeee???Miss you more kipenzi wale niliwapuuzia tu udugu akee!!
Kuna Mwanaume mwenzetu huko anaisoma namba, Mungu msaidie huyo Mjuba huko apate macho ya kuona ananunua sex.
Ni ileilee ya juzi tsup udugu akee hata hakuna mpya!Wee shogareee hujanipaa ubuyuu, kwan imekuajeee???