Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,274
Uzuri nikikoroma hasira ikiisha nakuomba msamaha na kukubembeleza tena.Mara moja moja sio mbaya kukukasirisha ukorome, ila ndio unakuwa tayari kwa matokeo kama kujikojolea. Sio kila siku mnakuwa na peace tuu akuuu
Halafu nimejifunza mkitofautiana, mkaombana msamaha...mkimalizia na mechi za kirafiki ni tamu haina mfano😂


