Mkeo au mpenzi wako unampendea nini?

Mkeo au mpenzi wako unampendea nini?

Mara moja moja sio mbaya kukukasirisha ukorome, ila ndio unakuwa tayari kwa matokeo kama kujikojolea. Sio kila siku mnakuwa na peace tuu akuuu
Uzuri nikikoroma hasira ikiisha nakuomba msamaha na kukubembeleza tena.

Halafu nimejifunza mkitofautiana, mkaombana msamaha...mkimalizia na mechi za kirafiki ni tamu haina mfano😂
 
Back
Top Bottom