Mrkaswahili
Member
- Dec 17, 2021
- 65
- 43
Hapana wanachukua kutoka katika vyuo watakavyo pendekezaWanachukuliwaga walimu wa chuo Cha kodi
Hapana wanachukua kutoka katika vyuo watakavyo pendekezaWanachukuliwaga walimu wa chuo Cha kodi
Kuna mwamba mmoja aliniambia idadi ya waombaji ni wengi sana, hivyo kupelekea mchakato wa kutoa majina kwenda hadi miezi miwili na kidogo japo mwezi huu wa january inasadikika yatatoka mkuuInamaana TRA hata Interview bado? Mi nikajua usaili ushafanyika maana kama deadline ya kuomba ilikuwa tar. 04 November 2021 mpaka leo January 03, 2022 si miezi miwili hiyo?????. Mwenye update yoyote kuhusu zile nafasi za TRA atujuze jamani
Duh..sawa mkuuKuna mwamba mmoja aliniambia idadi ya waombaji ni wengi sana, hivyo kupelekea mchakato wa kutoa majina kwenda hadi miezi miwili na kidogo japo mwezi huu wa january inasadikika yatatoka mkuu
🙏🙏🙏Duh..sawa mkuu
Aksante kwa dokezo Mkuu maana watu hatuelewi hata kinachoendelea.Kuna mwamba mmoja aliniambia idadi ya waombaji ni wengi sana, hivyo kupelekea mchakato wa kutoa majina kwenda hadi miezi miwili na kidogo japo mwezi huu wa january inasadikika yatatoka mkuu
TayariMkeka bado wakuu?
Uko wapi kama tayari. 😡😡Tayari
Hakuna mkeka bado muuUko wapi kama tayari. 😡😡
Jamaa anataka kuzingua watu.Hakuna mkeka bado muu
Kabisa watu presha zipo juu na anaziongezaJamaa anataka kuzingua watu.
Si kweli, nimesoma hapo na asilimia kubwa hawachukuliwi kutoka chuo Cha Kodi mpaka malamiko yameenda mbele.Sawa mkuu, unajua ukweli wako asilimia 90 ya walioko tra huwa wamesoma chuo hicho Cha kodi, tena ma diplomas ni wengi hupata huko
Kwanini mkuu?Hawako competent au?Si kweli, nimesoma hapo na asilimia kubwa hawachukuliwi kutoka chuo Cha Kodi mpaka malamiko yameenda mbele.
Nawajua wengi tu wako hukoSi kweli, nimesoma hapo na asilimia kubwa hawachukuliwi kutoka chuo Cha Kodi mpaka malamiko yameenda mbele.
Tupe ratio ya wanaomaliza hapo chuoni to wanaoajiriwa huko TRANawajua wengi tu wako huko
Fanya research ulete hapaTupe ratio ya wanaomaliza hapo chuoni to wanaoajiriwa huko TRA
Nimebonyeza *102# sijapata majibu.Fanya research ulete hapa
Okay, poleNimebonyeza *102# sijapata majibu.