tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,054
- 16,507
Afu watu hawajui tu kazi za tra zilivyo ngumu,kuzunguka Juani kama wale watu wa sales,pia target ya makusanyo unawekewa kulingana na ukubwa pamoja na hali ya uchumi ya wahusika.so hapo automatically watoto wa vibosile hizo kazi hawaweziAcha Uongo. Mtoto gani na wa Nani??
Watoto wa wakubwa hawafanyi Kazi TRA. Tena kwa position hizo ndo hamna kabisa. Ingekuwa Tasac au TPA au hata TPDC ningekubali. TRA kawaida Sana. Endelea kusubiri utaitwa najua na wewe ni Job seeker

