Chocolate25
Member
- Feb 1, 2021
- 13
- 19
Dah umenikumbusha kidonda, nlifanya interview Tasac hata majibu ya marks hayakutoka wala nn... yalitoka tu majina paaap, wameitwa kazini....Acha Uongo. Mtoto gani na wa Nani??
Watoto wa wakubwa hawafanyi Kazi TRA. Tena kwa position hizo ndo hamna kabisa. Ingekuwa Tasac au TPA au hata TPDC ningekubali. TRA kawaida Sana. Endelea kusubiri utaitwa najua na wewe ni Job seeker



