Mkeka wa TRA lini?

Mkeka wa TRA lini?

Yaani tangazo litoke October then Waite interview June,yaani miezi 9 baada ya tangazo Lao.

Kitu Kama hicho kilishawahi kutokea kabla?
Mwaka 2020, walitangaza kwanza nafas za Tax peke yake mwez Feb, baadae Tena wazitangaza za customs ikavutwa hadi July, mwaka 2019 ilifanyika July, mwaka 2021 kama SI July au June...
 
Mwaka 2020, walitangaza kwanza nafas za Tax peke yake mwez Feb, baadae Tena wazitangaza za customs ikavutwa hadi July, mwaka 2019 ilifanyika July, mwaka 2021 kama SI July au June...
Aisee watakua wametishana sana mzee baba.

Na julai si ndio mwaka wa fedha mwingine unakua umeanza.
 
Aisee watakua wametishana sana mzee baba.
Kuna Dem nlimaliza nae chuo, babake alikua lecture wa chuo cha Kodi kapata, na alikua kwaida sana class.. ukimuuliza umepenyaje anasema eti alizisoma introduction tu na akatusua
 
TRA naskia wengi wamesha itwa kazini, ila wameambiwa wanaanza kama intern
 
Kuna Dem nlimaliza nae chuo, babake alikua lecture wa chuo cha Kodi kapata, na alikua kwaida sana class.. ukimuuliza umepenyaje anasema eti alizisoma introduction tu na akatusua
😄😄😄 anasemaje huyo?analeta mzaha ye aseme tu alivujishiwa kitu chenyewe maana siku hizi zinavujishwa mpk zinawekwa mtandaoni.
 
anasemaje huyo?analeta mzaha ye aseme tu alivujishiwa kitu chenyewe maana siku hizi zinavujishwa mpk zinawekwa mtandaoni.
Ona kama ule mtihani wa Tax mgt officer, watu walikua had na marking scheme, yaani pale hata uwe msongolist vp hutoboi pasipo na Ile marking scheme, kidogo atleast customs ilikua inaeleweka
 
Hao sina imani nao.kwani hayo majina wanasort wao manually au ni system ndio inasort?
Kuna jamaa yangu kaniambia amepata connection na mtu wa pale utumishi,kaambiwa aandae 3m apate kazi.
 
Ona kama ule mtihani wa Tax mgt officer, watu walikua had na marking scheme, yaani pale hata uwe msongolist vp hutoboi pasipo na Ile marking scheme, kidogo atleast customs ilikua inaeleweka
afu wakuda hua wakiwa na marking scheme hawajui kujivunga yaani mtu anatusua kweli mpk wengine wanaonekana mazuzu.

Ile pepa ya AGOA Kuna mtu alipata 97 ,mpk wengine waliofeli wanaambiwa nyie hamsomi tu pepa ilikuaje ngumu wkt Kuna mtu ka-score 97
 
afu wakuda hua wakiwa na marking scheme hawajui kujivunga yaani mtu anatusua kweli mpk wengine wanaonekana mazuzu.

Ile pepa ya AGOA Kuna mtu alipata 97 ,mpk wengine waliofeli wanaambiwa nyie hamsomi tu pepa ilikuaje ngumu wkt Kuna mtu ka-score 97
daah lazma watu waonekane hawasomi maana kamuachia marks 3 tu!!
Wanatupeleka kisengerenyuma kweli utumishi!!
Wanadhani hatuelewi kitu kinacho endelea
 
Hao sina imani nao.kwani hayo majina wanasort wao manually au ni system ndio inasort?
Kuna jamaa yangu kaniambia amepata connection na mtu wa pale utumishi,kaambiwa aandae 3m apate kazi.
Kwa kifupi atoe m 3, wampe marking scheme ya written, na maswali ya Oral
 
daah lazma watu waonekane hawasomi maana kamuachia marks 3 tu!!
Wanatupeleka kisengerenyuma kweli utumishi!!
Wanadhani hatuelewi kitu kinacho endelea
Hahah hata wao utumishi kinachofanyika pale wanajua ni ujinga Ila ndio hivyo tu Bora liende.
 
Mwaka 2020, walitangaza kwanza nafas za Tax peke yake mwez Feb, baadae Tena wazitangaza za customs ikavutwa hadi July, mwaka 2019 ilifanyika July, mwaka 2021 kama SI July au June...
Labda wanasubiria mwaka mpya wa fedha Ili waajiri
 
Back
Top Bottom