Talha
JF-Expert Member
- Nov 11, 2021
- 202
- 224
Ao ni walioitwa kwenye interview..walionda si wte Kuna watu hawakutokeaLeo nimesikia number ya walioenda kwenye interview ni 24000 kjna ukweli wowote wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ao ni walioitwa kwenye interview..walionda si wte Kuna watu hawakutokeaLeo nimesikia number ya walioenda kwenye interview ni 24000 kjna ukweli wowote wakuu
la hali kama ndo ilivyo TRA itakuwajeAo ni walioitwa kwenye interview..walionda si wte Kuna watu hawakutokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua hatari,bongo nyosooI
la hali kama ndo ilivyo TRA itakuwaje
😂😂😂😂wacha tusubiri mkeka utandikwe ndo tutafahamu vyema
Yaani hata wakiitwa 40,000 utakuta walio serious hapo hata hawafiki buku, vijana wanakwambia wanasubiri Mkeka utoke ndio waanze kujisomeawacha tusubiri mkeka utandikwe ndo tutafahamu vyema


.Yahitaji maandalizi na kutokubwza idadi you never know yani hata watoke laki we nenda biashara n faida na hasara
Wacha tupambane kwa kujipa matumainiYaani hata wakiitwa 40,000 utakuta walio serious hapo hata hawafiki buku, vijana wanakwambia wanasubiri Mkeka utoke ndio waanze kujisomea.
Mungu Ni mwema mkuu, pitia pitia notes za hapa na pale.Wacha tupambane kwa kujipa matumaini
Sema sijui idadi n kubwa kiasi gani mpaka now mzigo hawajauangusha hewaniMungu Ni mwema mkuu, pitia pitia notes za hapa na pale.
😄😄 Mzee mzigo utakua Ni heavy duty.Sema sijui idadi n kubwa kiasi gani mpaka now mzigo hawajauangusha hewani
Hii Ngoma itavutwa hadi July basing na interview nyingi za TRASema sijui idadi n kubwa kiasi gani mpaka now mzigo hawajauangusha hewani
😁😁😁 m nipo napiga hapa ma custom duty full nondo😄😄 Mzee mzigo utakua Ni heavy duty.
Jiandae mapema maana hata wakitoa hayo majina utakua na Muda mfupi Sana wa kujiandaa.
Naona ni hii ndo wanachelewa sanaHii Ngoma itavutwa hadi July basing na interview nyingi za TRA
Yaani tangazo litoke October then Waite interview June,yaani miezi 9 baada ya tangazo Lao.Hii Ngoma itavutwa hadi July basing na interview nyingi za TRA
Pambana mzee baba,omba wasilete Yale maujinga Yao ya AGOA 😄😄😁😁😁 m nipo napiga hapa ma custom duty full nondo
Tusubiri maana ukija kuona interview za TIE bas na mzg unaangukaHii Ngoma itavutwa hadi July basing na interview nyingi za TRA
😁😁😁huenda ikawa mara ya kwanzaYaani tangazo litoke October then Waite interview June,yaani miezi 9 baada ya tangazo Lao.
Kitu Kama hicho kilishawahi kutokea kabla?
😂 kikubwa kupita kwenye written oral hakuna kituPambana mzee baba,omba wasilete Yale maujinga Yao ya AGOA 😄😄
Naona na aliyekua boss wa utumishi Xavier ametolewa na kwenda kua naibu katibu mkuu,huku Waziri wake nae akitolewa hio nafasi na kua Waziri wa Michezo.Naona ni hii ndo wanachelewa sana