ery mendez
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 298
- 626
Wakuu kada ya ICT tujuane?
Ungemtembezea na possible kabisa za kupitia msuri sio anasoma kama mtetea.Mkuu umepiga msuli vizuri? paper zimeshiba huko hebu uwe unapitia matokeo ya wadau huko, kuna 4 nyingi.
Kitulize wewe andaa nauli tu na yakulaliaKuna jamaa kaniambia huenda zikafanyika kikanda,kuna ukweli?
ha ha ha atakaa getoo huyo
Mkuu...Tanesco tupo huku temeke tunapiga interview...Kama waweza fika njoo Leo au kesho mapema Temeke.Naona Kuna uhitaji wa watu bado.Nitashangaa kuona Mkeka wa TRA unatoka kabla ya ule wa TANESCO ambao deadline ilikuwa 28 November.
Nitashangaa Sana. Na nitaamini kweli Kuna jambo lisilo la kawaida.
Umesikia kwa nani?Naskia tayari 80% ya hizi kazi zina watu?
Bongo nyosoIla maisha ya bongo ya kingese sana! Yani inafikia stage interview inakuwa kama Necta yani watu lazma wasome kama mtihani wa taifa😂 af mateso yote hayo just tu unaenda kuwa mtu wa kusaini document na kuzi submit kwa boss wako😂
Hii mitihan wanatunga wakina nan 🤔🤔Ila maisha ya bongo ya kingese sana! Yani inafikia stage interview inakuwa kama Necta yani watu lazma wasome kama mtihani wa taifa😂 af mateso yote hayo just tu unaenda kuwa mtu wa kusaini document na kuzi submit kwa boss wako😂
YeahHii mitihan wanatunga wakina nan 🤔🤔
Mfano tra ina maana wafanyakaz wanatunga na kumark papers
Kwahio wafanyakaz wanatunga na kumark 😃😃😃Yeah
Wanawaona vilaza kishenziKwahio wafanyakaz wanatunga na kumark 😃😃😃
Ila maisha ya bongo ya kingese sana! Yani inafikia stage interview inakuwa kama Necta yani watu lazma wasome kama mtihani wa taifaaf mateso yote hayo just tu unaenda kuwa mtu wa kusaini document na kuzi submit kwa boss wako
![]()

Bora ingekuwa competency based interview Sasa kurudishana darasani kwanini, ningekuwa mtunga mtihani ningetunga ya multiple choice tu Tena general knowledgeYani im so done with the bullshit bora nipambane tu kitaaniBora ingekuwa competency based interview Sasa kurudishana darasani kwanini, ningekuwa mtunga mtihani ningetunga ya multiple choice tu Tena general knowledge
Yani im so done with the bullshit bora nipambane tu kitaani

more than bullshit but never give up hyo unayoacha ukute ndio ilikuwa chance yako, Mimi nilisha applyig nyingi mno na mojawapo ikatick aisee, Sasa kwahixi za TRA zilivo nyingi waweza bahatika, sema Sasa nyomi lake laweza fika laki moja maana Hadi wenye kazi hukimbilia hukoWananiuzigi wale wangese yani mtu ana kazi ila bado anakuja kugombania position na ma jobless duh!more than bullshit but never give up hyo unayoacha ukute ndio ilikuwa chance yako, Mimi nilisha applyig nyingi mno na mojawapo ikatick aisee, Sasa kwahixi za TRA zilivo nyingi waweza bahatika, sema Sasa nyomi lake laweza fika laki moja maana Hadi wenye kazi hukimbilia huko
Wanazibia wengine hao ujue wengi huwa wanazo ila nikutokukata tamaa na kumwomba Mungu.Wananiuzigi wale wangese yani mtu ana kazi ila bado anakuja kugombania position na ma jobless duh!
Sio fair kabisa lakiniWanazibia wengine hao ujue wengi huwa wanazo ila nikutokukata tamaa na kumwomba Mungu.
Hafu wa bachelor wengi hushindwa na WA diploma Hadi utendaji kazi Huko so I wonder Kuna Wana grade kubwa ila uhalisia sifuri