Mkeka wa TRA lini?

Mkeka wa TRA lini?

Jaman Mimi nili apply na wakanijibu received Cha kushangaza kwenye kuitwa usaili wanajibu sija attached cheti Cha diploma sijaelewa na kwenye account yangu Kila kitu kipo ivi kuna mtu mwenye tatizo kama langu anisaidie au ninamna ya kuwa punguza watu niliomba TRA
 
Jaman Mimi nili apply na wakanijibu received Cha kushangaza kwenye kuitwa usaili wanajibu sija attached cheti Cha diploma sijaelewa na kwenye account yangu Kila kitu kipo ivi kuna mtu mwenye tatizo kama langu anisaidie au ninamna ya kuwa punguza watu niliomba TRA
Hata mimi ninekumbana nalo na hilo jambo wananiambia sijaattached cheti cha form 4 wakati niliattached nikaachana nao tu
 
Tatizo Ni nn jaman wanawezaje kuacept application kama mtu auja attach vyeti jamn msaada shida Ni nn?
 
Ndugu yangu nimeku pm
Screenshot_20220303-133718.png
Screenshot_20220303-133718.png
Screenshot_20220303-133718.png
 
Nenda kwenye academic qualification. Kwenye sehemu ya diploma certificate...angalia kwenye view uone kama pdf inaonekana. Kama haipo that means u didn't attach
Hii tatizo limewakumba wengi maana unatuma application system inakwambia application accepted ila cha kushangaza matokeo ya kuitwa interview unaambiwa not shortlisted kwa sababu fulani ila kwanini system ikingekataa wakati unaomba
 
Yaani mimi ninavyo jua kama huja kamilisha vigezo system inakataa au hata ukiomba post tofauti na vigezo husika pia inakataa but sijui kwann wanafanya ivi inakera Sana dah
 
Habarin wana Jf na Tax members ambao tuliisubiri kwa ham mpaka wengine kukata tamaaa , tafadhali tujuane wenye Interview Dodoma kesho saa Asubuhi, tupeane notes au any kind of hints and information about the Interview 2morro ........
 
Habarin wana Jf na Tax members ambao tuliisubiri kwa ham mpaka wengine kukata tamaaa , tafadhali tujuane wenye Interview Dodoma kesho saa Asubuhi, tupeane notes au any kind of hints and information about the Interview 2morro ........
Tax si ishafanyika,au Tax ipi tena?
 
Kuna waliofanya jana trh 5 kuna wa leo trh 6 na kesho trh 7 , ila sasaaa kule ajira portal wameandika trh 7 venue wameweka na Mda wa usail , ila nikiangalia list ya walio chaguliwa sioni jina langu kuna info yyt hapo...
Au ndio kuharibu nauli huku manake naona pale kama haupo kwenye jiNa basi jihesabu haupo xaxaa kama wanajichanganya wenyewe iviiii
 
Kuna waliofanya jana trh 5 kuna wa leo trh 6 na kesho trh 7 , ila sasaaa kule ajira portal wameandika trh 7 venue wameweka na Mda wa usail , ila nikiangalia list ya walio chaguliwa sioni jina langu kuna info yyt hapo...
Au ndio kuharibu nauli huku manake naona pale kama haupo kwenye jiNa basi jihesabu haupo xaxaa kama wanajichanganya wenyewe iviiii
Kama umecheck kwenye "My Application" na umeona umekuwa shortlisted na namba ya mtihani upo, we nenda.. Ile PDF isikuchanganye
 
Kama umecheck kwenye "My Application" na umeona umekuwa shortlisted na namba ya mtihani upo, we nenda.. Ile PDF isikuchanganye
Ni kweli imenichanganya kias kwamba Nikata tamaa, mwishoni kabisa ndo nakuja kujiona namba 98..!!? Ila sasa toka mwaka jana sina vyet Og nilipata ajali ya moto mwaka jana vyet vyangu vikayeketea na moto xaxa sijui itakuwaje ila Aluta continua Mungu ndo anajua....
 
Ni kweli imenichanganya kias kwamba Nikata tamaa, mwishoni kabisa ndo nakuja kujiona namba 98..!!? Ila sasa toka mwaka jana sina vyet Og nilipata ajali ya moto mwaka jana vyet vyangu vikayeketea na moto xaxa sijui itakuwaje ila Aluta continua Mungu ndo anajua....
ulifanya process zozote za utaratibu wa kupata vingine

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom