Hussein3
Member
- Nov 7, 2021
- 36
- 17
Kila mtu kwenye account yakeWapi yamechapishwa.
Kila mtu kwenye account yakeWapi yamechapishwa.
Ingia kwenye account yakoWapi yamechapishwa.
Custom assistant au custom officer ..??Yap cheki kwenye account watu wa customs
OfficerCustom assistant au custom officer ..??
Lazima watatoaKwan saiv hawatoi mkeka wote kuanzia wa kwanza Hadi mwisho?
TayariTax management, public relations, legal bado?
Angalia kwa account yakooMajibu CUSTOM ASSISTANT tayari au??
naona hawajatuma mkeka woteee....wamejibu kila mmoja kwa account yakeKwan saiv hawatoi mkeka wote kuanzia wa kwanza Hadi mwisho?
Umepita mkuu?naona hawajatuma mkeka woteee....wamejibu kila mmoja kwa account yake
mkeka umenitema mkuu! vp wewe?Umepita mkuu?
Nimepenya, ngoja tukajaribu bahati oralmkeka umenitema mkuu! vp wewe?
Ingia kwenye account yakoPro vipi kuna aliyepewa matokeo?? Kwangu Naona kimya Hadi saivi
Hongera mkuu, kapambane...Nimepenya, ngoja tukajaribu bahati oral
Poa mkuu,shukraniHongera mkuu, kapambane...
Hukufanya mtihani kwani? namba za mtihani kama unazo zinaonekana hapo kwenye profile yakoHamna kitu